Tetesi: Waliokuwa wapangaji wa NIC Mikocheni na Masaki wafukuzwa bila kupewa notice

Tairi bovu

JF-Expert Member
Sep 28, 2017
3,063
2,984
Wanabodi,

Shirika la Bima la Taifa limewafukuza bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko Masaki na Mikocheni siku ya Alhamisi wiki hii.

Tukio hili lilitokea siku ya Alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.

Ilivyokuwa, Shirika la Bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakamani kuweka zuio la kuhamishwa hapo. Shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi ya msingi.

Rais Magufuli aliitisha kikao cha siri na Mkurugenzi wa shirika na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.

Walivamiwa na askari wenye silaha za kivita hapo Alhamisi na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake. So ilikuwa vigumu kuweka zuio.

Wapangaji hawa wakiwemo majaji, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.

Polisi walikuwa 46 na Yono walikuja na mabaounsa pale.


My take: Uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
 
Awamu ya 5

Sent from my Iphone 7 using JamiiForums mobile app
 
wanabodi.
shirika la bima la taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.
Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.
shirika la bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo. shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi Y msingi.
MAGUFULI aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika. na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.
walivamiwa na askar wenye siLha za kivita hapo alhamisi.na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.so ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majudge, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.
polisi walikuwa 46 na yono walikuja na mabounsa pale.
my take.uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
Unao ushaidi wa Rais kuweka kikao cha siri? Kuwahujumu watu wake na nikwaminajili gani? MH polen
 
wanabodi.
shirika la bima la taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.
Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.
shirika la bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo. shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi Y msingi.
MAGUFULI aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika. na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.
walivamiwa na askar wenye siLha za kivita hapo alhamisi.na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.so ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majudge, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.
polisi walikuwa 46 na yono walikuja na mabounsa pale.
my take.uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
Una uthibitisho wa Magufuli kuitisha kikao cha siri?!!!.......angalia mdomo utaponza kichwa!
 
wanabodi.
shirika la bima la taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.
Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.
shirika la bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo. shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi Y msingi.
MAGUFULI aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika. na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.
walivamiwa na askar wenye siLha za kivita hapo alhamisi.na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.so ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majudge, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.
polisi walikuwa 46 na yono walikuja na mabounsa pale.
my take.uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
Mpelekee yule askofu awatetee hawa wanaotaka kuishi bure
 
wanabodi.
shirika la bima la taifa limewafurusha bila hata kuwapa notice wapangaji wake huko masaki na mikocheni siku ya alhamisi wiki hii.
Tukio hili lilitokea siku ya alhamisi mchana kuanzia saa 8:00 mchana.
ilivyokuwa.
shirika la bima liliuza nyumba zake kwa PPF huko nyuma. PPF wakawa wanahitaji nyumba zao wapangaji hawa walikuwa wanaenda mahakaman kuweka zuio la kuhamishwa hapo. shirika la bima likawa halipati pesa toka kwao kutokana na kuwepo kwa kesi Y msingi.
MAGUFULI aliitisha kikao cha siri na mkurugenzi wa shirika. na kuwataarifu wafanyakazi wa bima kuwa uhamishwaji ufanyike kwa dharura bila notice wala kuandikwa popote.
walivamiwa na askar wenye siLha za kivita hapo alhamisi.na ni muda ambao mahakama ilikuwa imemaliza shughuli zake.so ilikuwa vigumu kuweka zuio.
wapangaji hawa wakiwemo majudge, wafanyabiashara, watumishi wa umma na watoto wa vigogo wameisoma namba.
polisi walikuwa 46 na yono walikuja na mabounsa pale.
my take.uvunjifu huu wa haki za kiraia ni mpaka lini jamani?
Kwa nini ulikuwa hulipi rent?? Lazima ufukuzwe tu!! Jenga nyumba yako acha kuzoea vya bure!!
 
Back
Top Bottom