Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
- Thread starter
- #61
Samia na Magufuli ni vitu viwili tofauti Yohana mbatizaji!Hahahaaaa....... Sisi tuliwachagua Magufuli na mama Samia 2020 bwashee!
Kwa sasa tunampa ushirikiano wa 100% Rais Samia na makamu wake Dr Mpango kama tulivyompa alipokuwa na Magufuli
Bado tuu hujaelewa hilo?