You put it very well...Siyo ya kuchekea haya...Huyu mtu lazima hata tume ya maadili ihakikishe hapati nafasi yeyote ile ya kuongoza umma wa watanzania...Hawa watu ndiyo ambao wanatuingiza kwenye mikataba ya ajabu ajabu kisha tu anasikilizia upepo unaelekea wapiukosefu wa maadili