Yaani Tume iliyoundwa kuchunguyza imekuja na hili tu? Jee wahusika wakuu akiwemo yule waziri wa CUF -- yaani hawatafikishwa mahakamani na kukivaa kitanzi kutikana na upotezaji wa roho za watu elfu mbili waliokufa kwa uzembe wao?
Ama serikali ya CCM kweli. Inaona bora kutumia hela za walipa kodi kuwatuliza wafiwa kuliko kuwawajibisha wahusika! Kulinadana siku zote! CCM ina sera shit kabisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.