King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,933
- 95,302
Hawa jamaa walitangaza nafasi kibao za kazi kada mbalimbali na wameanza kuita watu. Kama nilisikia vizuri walisema interview ni pale New Africa Hotel, wakati mi najua ofisi zao zipo IT Plaza, au casino ya New Africa ni ya kwao?
Nataka tu kujua uhusiano.
UPDATE:
Naona watu wanakuja na CV na Vyeti wanapewa form ya kujaza na wanasubiri interview leo leo, kama upo karibu unaweza kusogea kujaribu bahati yako.
Nafasi kibao kama Barman, waiter, cashier, etc mambo ya casino/hotel
Fursa vijana hiyo changamkieni.