Walioikimbilia CHADEMA waanza kuitenga

Walioikimbilia CHADEMA waanza kuitenga

Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.

Hahahahahahahahahaaa mtasubiri saana..
 
chama pekee pendwa cha siasa hapa tanzania ni ccm na ndicho chama cha kuwatetea wanyonge na kuwaletea maendeleo
...yaah! tunaona mifano. "Mnyonge" Ritz1 anatajwa kuwa tangu baba aukwae urais keshakuwa mfanyabiashara mkubwa sana, amekuwa mchimbaji dhahabu huko Chunya, na zile dawa za kuwalaza vijana barabarani. "Mnyonge" Nape form 4 division 4 point 29 ana Masters. "Mnyonge" Kinje huko S/Africa anapiga bussness za nguvu na akina Masogange.
 
Sidhani kama unachosema ni kweli, chdm haiwezi kuchukiwa na wananchi, sababu ndo mtetezi wa wanyonge! Acha uongo huo bwana.

Kutetea matumbo yenu ndio kutetea wananchi. Nyie acheni kutuona watz ni wajinga hatuelewi. Niliwaamini sana cdm but hata kadi niliipiga moto.. Usenge mtupu..
 
Binafsi nimekuwa cdm miaka mitatu hakuna lolote zaidi ya porojo tupu hata kwenye vikao nilivyohudhuria. Hawana jipya la kumtetea mtz zaidi ya kuwaza matumbo yao. Na ni kweli baadhi ya maeneo watu washawachoka sana,
 
Watumwa wa Lumumba kumbe wanazidi kuongezeka tu. Mwiba jana umelipwa mara mbili ama tatu nini?
Pole sana mwanampotevu.

Eti watu wamehama Chama.
 
Last edited by a moderator:
Mtakuja na maneno mengi kwa mbwe mbwe kibao ila ukweli utabaki pale pale kuwa magamba wakati wa kutuachia nchi yetu umewadia
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.
Umeeleza mambo mepesi sana,tulitegemea uje na hoja nzito zenye mashiko lakini umekuja na porojo tu.Hakuna sababu ya kuchangia.TUMEAMUA KUKUPUUZA!
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.

Umesema vyanzo vyako vya habari toka mikoani vimekubipi. Wakikupigia urudi tena hapa jukwaani utupe habari kamili
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.

Hadithi hii kakusimulia nani na amekuambia inakufundisha nini???
 
Chama ambacho viongozi wake wakuu wanashukiwa kuuwa tembo wetu, kuuwa vijana wetu kwa kuwauzia sembe na kutumia wengine kama punda, kutorosha wanyama pori, na uchafu wa kila aina, kitakimbiliwa na Watanzania? Wamekuwa punguani?
 
Habari za uhakika kutoka vyanzo vyangu vya habari kutoka mikoani ,vimenibipu kuwa wale waTanzania walio wengi ambao walikuwa wakihamia kwenye Chama cha siasa cha Chadema wameanza kukisema na kukipuuza Chama hicho baada ya lile valangati lililotokea bungeni.

hata kabla ya vulugu la bungeni wengi wa wanachama wa chama hicho walikuwa wanasusia mikutano na baadhi ya ofisi huwa hazifunguliwi kwa kuwa hakuna anaepita wala kuhudhuria mkutano ikiwa utaitishwa hali iliyopelekea Chama hicho kuanza kufifia.

Baadhi ya wananchi wamesikika wakisema kuwa waliiona CDM kama mkombozi wao kwajinsi kinavyotangaza sera lakini kwa matendona mienendoya viongozi wao wameona yale yote ni danganya toto na sasa wanaelewa ni nani alie na nia ya kuwakomboa Watanzania toka kwenye makucha ya Sultani CCM.

Ubovu wa CDM ambao nimbaya hata kushinda ngozi ya shetani ni kule kuwaeleza wananchi mambo mengi na ahadi nyingi zikiwepo kurudi mara ingine kuwasimulia mapya ,wananchi wamesema huwa hawarudi na hata wakirudi huwa hawana jipya,na baya zaidi ni kule kwa viongozi wa Chadema kujijali wao wenyewe kwa wenyewe na kwa maslahi yao,hawaonyeshi nia ya kumjali mwananchi wa kawaida.

wananchi wengi wanaokumbwa na matatizo wakati , wa vurugu hizo zilitokana na kuwepo au kuhudhuria kwenye mikutano ya Chadema ,na kukumbana na vyombo vya dola kuwepokesi au kuswekwa lakapu,CDM huwa hawafuatilii wala kuwajulia na viongozi wao huwa hawawaoni wala kuwasogelea katika vituo ,labda pale tu kiongozi awe amekamatwa. Wananchi hao wamesema wamechoka kufanywa kama ngazi ya kupandia mtumbwi.
mwanachama wa chadema hakuna wala hatatokea wa mawazo yako ya kimagamba,sisi wanachama wa chadema tunajua chadema ndio mkombozi wetu,kila tufanyalo ni kwa ajili ya chama na hata kama tunakufa kwenye mikutano imani yetu ni kwamba watakaobaki watakuja kuishi kwenye nchi ya haki na sheria, hiyo ndio Imani yetu wanachadema,zaidi ya hapo ni magamba
 
Chadema huwa tunachukia ukituambia ukweli,sisi tunataka sifa Tu, haya ukome kutueleza ukweli maana unauma.
 
mwanachama wa chadema hakuna wala hatatokea wa mawazo yako ya kimagamba,sisi wanachama wa chadema tunajua chadema ndio mkombozi wetu,kila tufanyalo ni kwa ajili ya chama na hata kama tunakufa kwenye mikutano imani yetu ni kwamba watakaobaki watakuja kuishi kwenye nchi ya haki na sheria, hiyo ndio Imani yetu wanachadema,zaidi ya hapo ni magamba
Acha unafiki kufa Leo tuone.
 
Chadema huwa tunachukia ukituambia ukweli,sisi tunataka sifa Tu, haya ukome kutueleza ukweli maana unauma.

Ndio maana yake,hivi mnaotaka ushahidi ,ni kuwa hamna macho,hamuoni wala hamna masikio hamsikii ?? Basi jaribuni kuvuta hisia na mtahisi ni kwa jinsi gani CHADEMA inamomonyoka,sio kama mwanzo,hata hapa mtaani wanakisema vibaya sana na wamekichoka ,zaidi wanasema hakina na kimepoteza muelekeo nadira,

Afu ata humu ukisoma baadhi ya majibu utaona walichonacho ni makeke na aina flaniflani za matusi,hivi hawa usidhani ni wananchama bali ni viongozi wa CDM waliomo humu ukumbini.

Hivi kwa majibu mliojitetea mnakilinda chama au mnakibomoa ,habaki mtu hukomambo yote yako kule.
 
...yaah! tunaona mifano. "Mnyonge" Ritz1 anatajwa kuwa tangu baba aukwae urais keshakuwa mfanyabiashara mkubwa sana, amekuwa mchimbaji dhahabu huko Chunya, na zile dawa za kuwalaza vijana barabarani. "Mnyonge" Nape form 4 division 4 point 29 ana Masters. "Mnyonge" Kinje huko S/Africa anapiga bussness za nguvu na akina Masogange.

tehe tehe tehe mkuu umeyapigilia msumar wa moto kwenye ma------ yao,magamba wakubwa.
 
Dah!!! Eti nawe una vyanzo vyako vya habari!!!! Haya kesho mapema pita Lumumba ukachukue mshiko wako baada ya kuanzisha uzi JF uliojaa pumba. Mamburula banaaaaa!!!! Dah!!!!
OH! Wenzako juzi ktk kikao cha UVCCM kule Zenj walipewa simu za kisasa za Samsung ili wazitumie kwa kazi hiyo! Tutaona mengi katika mitandao ya kijamii sasa!
 
Back
Top Bottom