GE2025 Waliohamia CHAUMMA warudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee

GE2025 Waliohamia CHAUMMA warudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee Sababu ya kuhama mifumo iliyopo kwenye chama CHAUMMA si ya katiba bali ni mifumo ya watu binafsi ili kupata ubunge na udiwani

 
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee
Screenshot_20250615-124601~2.png
 
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee Sababu ya kuhama mifumo iliyopo kwenye chama CHAUMMA si ya katiba bali ni mifumo ya watu binafsi ili kupata ubunge na udiwani

View attachment 3452688
Mifumo tena?
Kwa hiyo CHAUMMA nao wana mifumo kama mama yao ccm?
 
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee Sababu ya kuhama mifumo iliyopo kwenye chama CHAUMMA si ya katiba bali ni mifumo ya watu binafsi ili kupata ubunge na udiwani

View attachment 3452688
Malaya malaya wa siasa. Ukiwaangalia usoni unawaona ni wavivu wa kulima tu.
 
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee Sababu ya kuhama mifumo iliyopo kwenye chama CHAUMMA si ya katiba bali ni mifumo ya watu binafsi ili kupata ubunge na udiwani

View attachment 3452688
Ni akina nani hao wapate mbili mbili za matakoni kwanza ya kusamehewa?
 
Kama ilivyokuwa kwa 'mwana mpotevu', baada ya kutambua makosa alirudinkwa babaye kwa unyenyekevu sana.

Hawa wasamehewe na warudishwe kundini kwa kufuata utaratibu ulioainishwa kwenye katiba.
 
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee Sababu ya kuhama mifumo iliyopo kwenye chama CHAUMMA si ya katiba bali ni mifumo ya watu binafsi ili kupata ubunge na udiwani

View attachment 3452688
Jambo jema kabisa hili. CHAUMMA Wamepewa Nyumba ya mtu pale Segerea Kama ofisi na CCM.
 
Waliokuwa wanachama wa CHADEMA Kata ya Kinyerezi na baadae wakahamia Chaumma leo wametangaza kurudi CHADEMA na kuomba viongozi wawapokee Sababu ya kuhama mifumo iliyopo kwenye chama CHAUMMA si ya katiba bali ni mifumo ya watu binafsi ili kupata ubunge na udiwani

View attachment 3452688
Polepole katoboa Betri
 
Hawa wamepotea njia.
Waliusoma upepo vibaya na wakafanya maamuzi ya hovyo kabisa!

Sasa bila ya aibu wanataka kurudi CHADEMA kwa sababu gani hasa; kwani CHADEMA wamebadili msimamo wao juu ya kushiriki uchafuzi?

Wanachama wa aina hii ndani ya chama ni maumivu makubwa kwa chama.
 
Back
Top Bottom