habariyamujini
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 3,094
- 457
CHADEMA ipo moyoni si kwenye majengo na mavazi kama hawa inzi wa kijani(maccm).
Iramba hakuna mtu yeyote toka ACT aliyehamia CDM ni uzushi mtupu na uongo uliyekithiri!
JF imegeuzwa ukumbi wa kupiga majungu na kusema uongo hadharani!