Waliohamia ACT warejea CHADEMA Singida

Waliohamia ACT warejea CHADEMA Singida

CHADEMA ipo moyoni si kwenye majengo na mavazi kama hawa inzi wa kijani(maccm).

Iramba hakuna mtu yeyote toka ACT aliyehamia CDM ni uzushi mtupu na uongo uliyekithiri!

JF imegeuzwa ukumbi wa kupiga majungu na kusema uongo hadharani!
 
Pesa mkauza utu wenu?? Hahahaaaaa. Mijitu mingine bana', tabia kama maccm wachumia tumbo. Chadema msiwapokee hawana msimamo hawa
 
Utabiri feki wa Mzee wa Gombe umeota mbawa! CDM inaendelea kuimarika kuliko wakati mwingine wowote. People's Power.
 
Kwahiyo Mkumbo akiwapa pesa yao wanaludi Act?.Nashauli kama ndg yangu aliyesema wajenge kwanza walipobomoa kisha tuone je pameimalika?
 
Nilishangaa majuzi kwenye BMK Siita anasema ACT ni Chama kichanga lakini ninafanya vizuri na kinakua kwa kasi.

Aise we mshikaji muongoo sita alisema ADC na akawatambulisha viongozi wa chama hicho
 
Chadema imesha kufa,kila opararion imefeli,chaguzi ndio wametumia Bil 3,,chopa 3,wakaambulia kata tatu.

Kalenga holaaa


chalinze chiniiiii


Maandamano yamebuma


hata wale vijana wa kutunga uongo aki na Yeriko na Saa nane nao wamegoma kutumikishwa.

Andamana wewe sisi tuachie chama pendwa chenye mikakati ya kisomi.


ACT -TANZANIA ndio habari ya mjini,na utaikubali ACT siku ukimjua M2 ni nani.

binti acha kutokwa mapovu.
heeee unalipwa nini?
 
Chadema imesha kufa,kila opararion imefeli,chaguzi ndio wametumia Bil 3,,chopa 3,wakaambulia kata tatu.

Kalenga holaaa


chalinze chiniiiii


Maandamano yamebuma


hata wale vijana wa kutunga uongo aki na Yeriko na Saa nane nao wamegoma kutumikishwa.

Andamana wewe sisi tuachie chama pendwa chenye mikakati ya kisomi.


ACT -TANZANIA ndio habari ya mjini,na utaikubali ACT siku ukimjua M2 ni nani.

Kalenga na Chalinze ni majimbo ya Magamba, so wamerudisha majimbo yao.
Huwezi kupima kwa chaguzi hizo, labda akili zako zishabihiane na kinyesi.
Ikiwa una akili za kiutu uzima utajua tu kama Chadema imeimarika zaidi kupitia uchaguzi mkuu wa chama uliopita.
Kwa Tanganyika nzima mmebaki watatu tu wanaoamini Chadema imekufa, ambao ni wewe, mumeo na baba ako.
Ova.
 
wana wapotevu yaani hadi kitila na mwiGAMBA wataomba kurudi mwishoni
 
Wawe wanachama wa kawaida kwa miaka mitano...na wapimwe kwa matendo baada ya hiyo miaka ndipo wapewe UONGOZI.



wapewe uongozi wao ni akina nani? waliaminiwa wakiwa ndani ya chadema ila baada ya kwenda na kurudi hakuna kupewa uongozi maana wamedhihilisha kuwa wanapenda sana Pesa kuliko kuwatumikia wananchi...na kwakuwa pesa waliyotarajia kuipata baada ya usaliti wameikosa wamerudi ni kuwa wanachama wa kawaida milele kwao wao ni nani tofauti na wanachama wengine..

Na hapa ibabidi Chadema waje warekebishe katiba kwenye sifa za mgombea uongozi wa nafasi yoyote ile ndani ya chadema kuwa "Mwananchama yeyote aliyewahi kukihama chama cha Chadema kwa matakwa yake na akarudi tena Chadema hana sifa ya kugombea nafasi yoyote ile ndani ya chama kwa kipindi kisichopungua miaka 15" Hii najua itawakomesha wasaliti wote wapenda pesa na wakizikosa wanarudi....
 
Kalenga na Chalinze ni majimbo ya Magamba, so wamerudisha majimbo yao.
Huwezi kupima kwa chaguzi hizo, labda akili zako zishabihiane na kinyesi.
Ikiwa una akili za kiutu uzima utajua tu kama Chadema imeimarika zaidi kupitia uchaguzi mkuu wa chama uliopita.
Kwa Tanganyika nzima mmebaki watatu tu wanaoamini Chadema imekufa, ambao ni wewe, mumeo na baba ako.
Ova.
Majimbo ya watu wenye elimu yako CDM, sehemu wanazojitambua kama Ubungo, Kawe, Arusha, Moshi, Karatu nk. Ni heri "upate ushirikiano wa mtu mtu mmoja anayejitambua kuliko zigo la watu wasiojitambua"
 
Back
Top Bottom