At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,566
- 3,642
Baraza la Mitihani la Tanzania limeamua kuwapa fursa watahiniwa wa Darasa Saba 2, 194 waliofutiwa matokeo kufanya Mtihani wa Marudio. Mtihani wa Marudio utafanyika tarehe 21 na 22 Disemba, 2022.