mustaphahamisi
Member
- Sep 4, 2016
- 36
- 21
Serikali imekuwa na kimya kingi au ilikuwa geresha tu kuhusu ajira.... Kwanini serikali hii inacheza na vichwa vya watanzania, hivi ninyi watanzania hamna uchungu ninyi kwanini tusiandamane tukamuonesha huyu mse** kuwa sisi ndo tuliomuajiri kwanini atuzoee kiasi hiki... Pumbafu kabisa