Waliochangia Simba kukosa ubingwa msimu huu

Waliochangia Simba kukosa ubingwa msimu huu

1.Camara ( vs coastal union,Vs Yanga,Vs Azam)
2.Kijiri( vs Yanga)
3.Chasambi (vs Fonten gate)
4. che Malone( vs Azam)
Una mambo ya kiswahili. Mpira ni mchezo wa makosa. Na bila kosa hakuna kushinda au kushindwa.

Vipi unasahau Simba ilibebwa kupata hizo points 78. Dhidi ya mashujaa, dhidi SBS, dhidi Pamba Dar na mipenati ya uongo uongo.

Kama hujawahi kucheza mpira usicoment hovyo.
 
1 na 3 nilishangaa sana siku zile.ni point 6 ambazo Simba alikosa kwasababu za kijinga sana
 
Simba msianze kulaumu mchezaji moja mmoja bali mjilaumu nyote kama timu.
 
Hapo nimeainisha major individual mistakes mifano ya chasambi dhidi ya Fauntan gate linaweza kuwa kosa la timu?? Au magoli aliyofungwa Camara dhidi ya coastal si uzembe binafsi?
Kwenye timu hakuna kitu kama hicho, unless kama hujui maana ya "timu" nitakuelewa.
 
Huu ndiyo wakati wa kuzidai zile bilioni 20 kutoka kwa mwekezaji ili zitumike kununulia wachezaji wote wa Yanga msimu ujao. Wakinunuliwa wachezaji wote, lazima simba atakuwa bingwa msimu ujao.
 
March 8 timu ilikuwa timamu na Yanga ilikuwa down ule upumbavu walifanya viongozi umewatokea puani
Tarehe 8 March mlihairisha sababu ya kumkosa Kamara.
Huyo huyo ndiyo amewafungisha tarehe 25 June.
Bora mngecheza siku ile bila yeye huenda msingepoteza mechi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom