king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Wale wa lyamungo.
Pale kuna kila kitu ushindwe ww tu.
Oyaa upo shuleni hapo.
Jaman wote mliochaguliwa lyamungo nawajuza kuwa 2na bfu na umbwe sec so udumishe ushnd zd yao
je, kuna walimu wa kutosha na Maabara yenye vifaa?
Jaman wote mliochaguliwa lyamungo nawajuza kuwa 2na bfu na umbwe sec so udumishe ushnd zd yao
Nilshamaliza miaka hiyoo ya mzee Manase ndio mpishi
mbona bif hata hamna. wqle walishapita sa hv wanafunzi wako peace tu.
manase kastaf 2011 aisee wkt cc 2naondoka pale f6.
Dah!!. Mmenikumbusha mbali sana. Namkumbuka huyo mzee ulikuwa ukimkorofisha lazima akutoe nduki na mwiko ama tonge la ugali.
Ila alikuwa hapendelei mtu yeyote katika kugawa msosi.
Hivi akina Mwalimu Chicago, Urage, Lyaruu, Mzuzu,Temba bado wapo kweli?