junior1929
New Member
- Jul 17, 2015
- 2
- 0
kuna grup la watsapp limeanzishwa kwa wale tunaoenda udom nitafute(0718117601) nikuadd ili tuwe updated na mambo yanayoendelea
Kilaa tyu serikali wana kufanyiaa isipoo kuwa tafuta hela y kulipiaa hostel..n sh280000 kw mwka..na..kuhucu msosi mna nunua wenyewe n hela mtakayo kuwa mkipewaa aka boom ambayo n sh300000 kwa kila baada y miezi minne...asanten
Direct cost, na boom hazikuwa hivyo hata mwaka jana. direct cost ilkuwa 285 000/-
boom 367500/- lakin mwaka wa masomo 2015/16 vyote vitapanda. Taarifa rasmi kutoka heslb boom litakuwa 520 000/- in two months. Direct cost nayo itapanda but sina taarifa rasmi juu ya ongezeko litakolowekwa na uongoz wa chuo kulingana na kupanda kwa gharama za uendeshaji chuo na maisha kwa ujumla.
Direct cost, na boom hazikuwa hivyo hata mwaka jana. direct cost ilkuwa 285 000/-
boom 367500/- lakin mwaka wa masomo 2015/16 vyote vitapanda. Taarifa rasmi kutoka heslb boom litakuwa 520 000/- in two months. Direct cost nayo itapanda but sina taarifa rasmi juu ya ongezeko litakolowekwa na uongoz wa chuo kulingana na kupanda kwa gharama za uendeshaji chuo na maisha kwa ujumla.
Okyy..ndooo itakuwa vizr mkuu
Vijana watakula maisha sana!
Sasa mkopo mpaka tu apply ss km form six