DODOSO REFU
Member
- Sep 16, 2012
- 12
- 0
Habari wana jf.Naamini kuna watu wamechaguliwa kcmc ila wakiangalia kwenye web ya chuo majina yao hawayaoni nami ni mmoja wao nilipowapigia simu tcu kujua kulikoni wakaniambia wameshawapa majina kcmc hivyo niwaulize kcmc,nami nikawapigia kcmc wakanijibu kuwa wangeeka mengine ijumaa asubuhi.Nashangaa mpaka leo kimya na chuo octoba 1.JE TUNAFANYAJE NDUGU ZANGU??