Walio na uchu wa madaraka toka CHADEMA sasa ni ruksa kujiunga na vyama vingine

Walio na uchu wa madaraka toka CHADEMA sasa ni ruksa kujiunga na vyama vingine

Wataenguliwa wote labda atabakizwa mmoja halafu warudi tena kujiunga na CHADEMA na kuanza square one.😆
wanaweza wasienguliwe maana wote ni dugu moja. wataachiwa majimbo ya pembezoni
 
wanaweza wasienguliwe maana wote ni dugu moja. wataachiwa majimbo ya pembezoni
Hahahaa labda wewe ni mgeni wa siasa za Tanzania.

Msikilize Mwabukusi wa NCCR kwenye hii clip
 
Haya sasa covid 19 na wenzao G55 waende veggies wakapambane na kibajaji 😹😹😹

Hii Chadema wamecheza sana, naona veggies wanalia kila nyuzi humu..!!
Wanalazimisha furaha..!!
 
Unakuwa member wa chama kwa sababu ya ubunge? Sasa wote tutakuwa wabunge? Nyoko kabisa hawa
 
Back
Top Bottom