ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,592
"......Tamaa ikiisha kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti"
naupenda huu mstari
mi huwa najisemehe hata Mungu akiamua assess watu wa kwenda mbinguni kwa kutumia amri moja tu ya usizini, mbinguni wataingia watoto tu, labda na mimi kwa upande wa wanaume, teh teh!
Laiti kusingekua na tamaa, maisha yangekuaje? Mimi nadhani suala kubwa hapa nikukumbuka kutubu kila saa na kila wakati, kila unapoona umekosea jaribu kuwa mnyenyekevu na kukubali toba. Hio ishu ya kutamaniana hio mmhh, mie ni muathirika sana wa hio but I always keep my mind straight. Sitaki eti nikishafanya ndio niseme "aaah nimefanya nini sas?"
"Lakini kila mmoja hujaribiwa na TAMAA
zake mwenyewe huku akivutwa na kudanganywa, halafu ile Tamaa ikiisha
kuchukua mimba huzaa dhambi na ile dhambi ikiisha kukomaa huzaa mauti"
umenikumbusha kwaya ya Bulyanhulu aisee, kuna wimbo wao mmoja wa kitambo sana una hicho kiitikio!
Unaipata hiyo nyimbo, nayoisema!!
Daaah naona kama nashindwa kuandika
nimepata kigugumizi
nitarudi tena hapa.
umenikumbusha kwaya ya Bulyanhulu aisee, kuna wimbo wao mmoja wa kitambo sana una hicho kiitikio!
Unaipata hiyo nyimbo, nayoisema!!
kwani umeona dhambi kubwa ndo hiyo hakuna dhambi kubwa wala ndogo best zote ni dhambi na machukizo mbele za Mungu hivyo jitahidi sana usiishawishike na tamaa za ujanani au tamaa zako mwenyewe
Hayo hayakuanza leo, kama historia inaonyesha hata Mfalme Daudi alimtamani mke wa huria. Wajua, kama wake wangekuwa wanyimi nadhani wengi wangeacha haka ka.. 'Mwana FA alisema, ukigongewa na wewe tafuta mnyonge wako...
maana yangu siyo bhana, namaanisha uzinzi ni dhambi inayowashinda wengi
hee kumbe wewe uko studio - Kinondoni au siyo?
ladyfurahia mbona hujani-cc bana