Walio na mamlaka wameamua kuandika katiba

Walio na mamlaka wameamua kuandika katiba

Je huyo aliyesimama kushoto ndio billionea tajiri Asas? Mbona kasimama kwa unyenyekevu mno?
 
Wakijibu hili pls tag me,.....yule poacher???
Ok nawasubiria akina johnthebaptist walete majibu.


Naona tanker za scania nyingi sana za asas. Nahisi thamani ya lile tanker si chini ya 250m na anayo mengi sana 🙌🏿
Extrovert hivi lile tanker moja la scania xt aliyonayo asas ni bei gani? Moja tu kichwa+ tanker la serin ni bei gani?
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa ccm Ina dhamira ya kweli ya kuandika "katiba bora".
Uko sahihi, katiba itakayoletwa itakuwa ni kama hii hii kwa lugha tofauti. Machafuko pekee ndio yatatupatia katiba ya kweli ya wananchi.
 
Ok nawasubiria akina johnthebaptist walete majibu.


Naona tanker za scania nyingi sana za asas. Nahisi thamani ya lile tanker si chini ya 250m na anayo mengi sana 🙌🏿
Extrovert hivi lile tanker moja la scania xt aliyonayo asas ni bei gani? Moja tu kichwa+ tanker la serin ni bei gani?
Tembo wengi sana kule kidabaga (selous &Ruaha )gunned down leo wanautaka ubunge..it's a joke...bin kleb pale morogoro tembo wetu kule tunduru ipo siku utajibia mahakamani
 
Je huyo aliyesimama kushoto ndio billionea tajiri Asas? Mbona kasimama kwa unyenyekevu mno?
Salim kwa kawaida ni mnyenyekevu tangu akiwa Secondary school ndio sababu humkuti kwenye mbwembwe za mabilionea Uchwara kama hawa wa Makolo!
 
Salim kwa kawaida ni mnyenyekevu tangu akiwa Secondary school ndio sababu humkuti kwenye mbwembwe za mabilionea Uchwara kama hawa wa Makolo!
🤣
Je utajiri wa akina asas hauna makandokando au skendo za hatari?
Je yeye ndio mwanzilishi au karithi?
 
Ok nawasubiria akina johnthebaptist walete majibu.


Naona tanker za scania nyingi sana za asas. Nahisi thamani ya lile tanker si chini ya 250m na anayo mengi sana 🙌🏿
Extrovert hivi lile tanker moja la scania xt aliyonayo asas ni bei gani? Moja tu kichwa+ tanker la serin ni bei gani?
GRW tanker trailer( imvubu)all aluminium profile si chini ya dola laki moja!! Scania xt ni dola laki unusu pale vingunguti combinatiob ya kichwa na teailer si chini ya dola 250,000. serin tanker ipo chini kidogo ila nayo ikiwa ya aluminiun bei hazitofautiani na grw
 
🤣
Je utajiri wa akina asas hauna makandokando au skendo za hatari?
Je yeye ndio mwanzilishi au karithi?
Mzee ASAS alikuwa na Watoto Watatu wanaume Salim, Munif na Naif na wote walisoma The Highlands Sec School

Walipomaliza form four baba yao aliwagawia utajiri Munif na Naif wakahamia Dar na Salim akabaku Iringa

By then Matajir wa Iringa walikuwa ST Abri, FM Abri, Nahdi, ASAS na Huwel kwa upande wa Waarabu

Lakin Salim akaubuka kuwa tajiri mkubwa kwa sababu hana longolongo na CCM wakajipendekeza na yeye akakipenda Chama

Wakati Salim yuko sekindari mchungaji Msigwa alikuwa anauza mitumba Miyomboni na sasa ni marafiki wakubwa tu

Ahsante!
 
Back
Top Bottom