mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,912
- 8,639
Time will tell !!Ccm wana nia mbovu na ozo ktk suala hili la katiba.
Time will tell !!Ccm wana nia mbovu na ozo ktk suala hili la katiba.
Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo amewaeleza wananchi kuwa kazi ya kujenga nchi siyo ya lelemama na kuwa CCM inataka Katiba bora kuliko mtu mwingine yeyote.
View attachment 2636922
Chongoro naye ameona asipitwe na Vugu vugu la Lissu.Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo amewaeleza wananchi kuwa kazi ya kujenga nchi siyo ya lelemama na kuwa CCM inataka Katiba bora kuliko mtu mwingine yeyote.
View attachment 2636922
Duh! Kumbe chanzo cha utajiri ni ujangili wa tembo na kuuza meno ya tembo? 🤣 Nishawahi kusikia hilo suala kuwa meno ya tembo yametajirisha watu wengi sana 🤣🙌🏿🙌🏿🙌🏿Tembo wengi sana kule kidabaga (selous &Ruaha )gunned down leo wanautaka ubunge..it's a joke...bin kleb pale morogoro tembo wetu kule tunduru ipo siku utajibia mahakamani
Huyo karithishwa, maji hufuata mkondo. Je asas hawana undugu na abri, au ni kitu kimoja?Mzee ASAS alikuwa na Watoto Watatu wanaume Salim, Munif na Naif na wote walisoma The Highlands Sec School
Walipomaliza form four baba yao aliwagawia utajiri Munif na Naif wakahamia Dar na Salim akabaku Iringa
By then Matajir wa Iringa walikuwa ST Abri, FM Abri, Nahdi, ASAS na Huwel kwa upande wa Waarabu
Lakin Salim akaubuka kuwa tajiri mkubwa kwa sababu hana longolongo na CCM wakajipendekeza na yeye akakipenda Chama
Wakati Salim yuko sekindari mchungaji Msigwa alikuwa anauza mitumba Miyomboni na sasa ni marafiki wakubwa tu
Ahsante!
Mkuu hebu thaminisha hiyo fleet yake ya juzi juzi. Wanasema zilikuwa tanker 50 wengine wanasema zilikuwa 25, wengine wanasema zilikuwa 35. Hebu kadiria 25 Jumla ni usd ngapi? Ukigeuza kuwa tsh inakuwa jumla ngapi?GRW tanker trailer( imvubu)all aluminium profile si chini ya dola laki moja!! Scania xt ni dola laki unusu pale vingunguti combinatiob ya kichwa na teailer si chini ya dola 250,000. serin tanker ipo chini kidogo ila nayo ikiwa ya aluminiun bei hazitofautiani na grw
ST Abri na KT Abri ndio walikuwa ndugu kabisaHuyo karithishwa, maji hufuata mkondo. Je asas hawana undugu na abri, au ni kitu kimoja?
Ok, kwa hiyo kazaliwa na kukulia kwenye familia ya biashara.ST Abri na KT Abri ndio walikuwa ndugu kabisa
Lakini FM Abri na ASAS ni jamii Hiyo hiyo
Ndio maana yake!Ok, kwa hiyo kazaliwa na kukulia kwenye familia ya biashara.
Kuna mdau kasema na yeye kaua tembo ruaha iringa. Ndio maana ni Tajiri sana. Au ndio maana yupo karibu sana na ccm asije akakamatwa au kuwekwa jela kwa ujangili.Ndio maana yake!
Salim ni mwarabu tofauti na hao wengine wauwa tembo!
Watu wa tembo Iringa wanaeleweka hao hawamoKuna mdau kasema na yeye kaua tembo ruaha iringa. Ndio maana ni Tajiri sana. Au ndio maana yupo karibu sana na ccm asije akakamatwa au kuwekwa jela kwa ujangili.
Duh! Au huyo asas na yeye anashika mali za watu wazito? Je hizo tetesi zipo au ushawahi kuzisikia? Maana malori aliyonayo barabarani na anayoendelea kuongeza kwa ajili ya transit za zambia na drc ni mengi na Gharama za juu mno 🤣🤣🤣🙌🏿Watu wa tembo Iringa wanaeleweka hao hawamo
Waarabu koko ndio wameuwa sana tembo Ruaha enzi hizo wakiitwa Waburushi
Yule ni mwarabu pure huwezi changanya Biashara pale😄😄Duh! Au huyo asas na yeye anashika mali za watu wazito? Je hizo tetesi zipo au ushawahi kuzisikia? Maana malori aliyonayo barabarani na anayoendelea kuongeza kwa ajili ya transit za zambia na drc ni mengi na Gharama za juu mno 🤣🤣🤣🙌🏿
Chongolo anawalaghai Wananchi.Ni kwel
Kikwete alisema tujifunze kwa ndege mbayu wayu. Akili za kuambiwa changanya na zako.Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo amewaeleza wananchi kuwa kazi ya kujenga nchi siyo ya lelemama na kuwa CCM inataka Katiba bora kuliko mtu mwingine yeyote.
View attachment 2636922