Mfukunyuzi
Senior Member
- May 30, 2012
- 125
- 9
hapo ndo mpango mzima...ulitupia kitu cha muhimbili na wewe nini...??
dah muhmbili niliweka kama last option coz nilihs comptition ingekua kubwa, vp wewe ulijaza as 1 choice nin
hapo ndo mpango mzima...ulitupia kitu cha muhimbili na wewe nini...??
Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!
1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12
But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7
unashangaa nini sasa? una cut off point 7 ndo nini? ulitaka kusema una point 7?Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!
1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12
But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7
mjomba, hii ni course gani?Kwa taarifa nilizopata sasa hivi ni kwamba nimekosa kozi zote mbili nilizojaza UDZM na wewe kama umejaza udzm kozi zifuatazo check hz cut-off point then utajua kama umo ama ndo ushapigwa nje !!
1.BIOTECHNOLOGY -10.5 up to 6.5
2.Bachelor of science with geology- 13 up to 10.5
3. Actorial - 13 up to 11
4. Telecommunication- 15 up to 12
But nimeshangaa sana mimi kuachwa kwenye hiyo biotechnology coz nina cut off point 7
dah muhmbili niliweka kama last option coz nilihs comptition ingekua kubwa, vp wewe ulijaza as 1 choice nin
kaka nitumie jina lako na kozi ulizojaza nikuchekie kama utakuwemo !!
biotechnology kaka' but nimeachwa coz nilikuwa tayari nishachukuliwa BVM
ebu nichekie jina hli obed kaberwa aliomba bachelor of science with education and bachelor of science in chemistrykaka nitumie jina lako na kozi ulizojaza nikuchekie kama utakuwemo !!