Walinzi wa marais wanatumia vipi muda wao?

Walinzi wa marais wanatumia vipi muda wao?

peter babagody

Senior Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
103
Reaction score
44
Japo ni kwa ufupi lakini naomba wajuzi wa maswala haya wanisaidie juu ya hawa jamaa wanaosimama nyuma ya watawala wetu. Napata shida nikifikiri muda wanaotumia na kwamba kila muda Rais alipo na wao wapo wanapata vipi muda wa 'ku kwich kwich'. Ina maana hawana familia.

Naomba kuwasilisha
 
Yaani wewe ulichoona nikwamba wanakosa muda wa 'ku kwich kwich' wala huulizi wanapata wapi muda wa kuongea na watoto wao, jamii inayowazunguka mfano kuhudhuria shughuli za kijamii kama mazishi! wewe unachowaza ni KATIKATI YA MIGUU, CHINI YA KITOVU BASI!
 
Yaani wewe ulichoona nikwamba wanakosa muda wa 'ku kwich kwich' wala huulizi wanapata wapi muda wa kuongea na watoto wao, jamii inayowazunguka mfano kuhudhuria shughuli za kijamii kama mazishi! wewe unachowaza ni KATIKATI YA MIGUU, CHINI YA KITOVU BASI!
Nilisahau umenikumbusha
 
Yaani wewe ulichoona nikwamba wanakosa muda wa 'ku kwich kwich' wala huulizi wanapata wapi muda wa kuongea na watoto wao, jamii inayowazunguka mfano kuhudhuria shughuli za kijamii kama mazishi! wewe unachowaza ni KATIKATI YA MIGUU, CHINI YA KITOVU BASI!
Ngoswe: Penzi Kitovu cha Uzembe!
 
Japo ni kwa ufupi lakini naomba wajuzi wa maswala haya wanisaidie juu ya hawa jamaa wanaosimama nyuma ya watawala wetu. Napata shida nikifikiri muda wanaotumia na kwamba kila muda Rais alipo na wao wapo wanapata vipi muda wa 'ku kwich kwich'. Ina maana hawana familia.

Naomba kuwasilisha
Sasa mbona hujauliza huyo wanayesimama nyuma yake anapata muda huo saa ngapi bila kusimamiwa?
 
Haaaaaahsaaaaaaaaaa haaaa nachekaaaa tu
Jamaa kaangalia upande mmoja tu. Tena nafuu ya wale wanaweza kuwa wanabadilishana kuliko mshusika mwenyewe kila anakoenda ni ving'ora na msululu mirefu ya magari na watu sasa kama anataka kuchepuka kidogo atachepukaje na mikamera kibao na mimacho yote ile?! Hata useme kama mhusika mwenyewe ni mwanaume anataka kutongoza au mwanamke kutongozwa itakuwaje na ni saa ngapi?
 
Jamaa kaangalia upande mmoja tu. Tena nafuu ya wale wanaweza kuwa wanabadilishana kuliko mshusika mwenyewe kila anakoenda ni ving'ora na msululu mirefu ya magari na watu sasa kama anataka kuchepuka kidogo atachepukaje na mikamera kibao na mimacho yote ile?! Hata useme kama mhusika mwenyewe ni mwanaume anataka kutongoza au mwanamke kutongozwa itakuwaje na ni saa ngapi?
Umesahau azimio la Arusha kuhusu miiko ya uongozi Mwl Nyerere alisema "hatuwezi kutawaliwa na kiongozi muhuni huni tu"
 
Kwanini unataka kujua na sio sehemu ya kazi au taaluma yako?? Ya kaesaei muachie kaisali simple
 
Back
Top Bottom