POSHO MAVYEO
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 371
- 112
kwanza salamu
nianze kwa kusema nilipokuwa kijana nilikuwa na maisha magumu sana kwa upande wa mahusiano/uchumba
nilipokuwa sekondari high nilikuwa na rafiki yangu wakike niliyempenda sana, lakini siku mmoja kwa hali ya mshangao aliniambia mimi na yeye basi kwa sababu wazazi wake wamegundua mahusiano yetu na hawataki yendelee,
nilimsihi tuendelee kwa siri lakini alisema hata tukiendelea hatuta kwenda kokote maana hawana mpango wa kuniona naye milele, kwa kuwa nilikuwa nimepigwa chini na wazazi kwa kutokana na maelezo ya bint mimi niliamua kuendela na mambo yangu
ilinitesa sana kwa miaka miwili yote ya form 5&6 maana hiyo ilikuwa first love na nilimpenda sana sikuweza kujiusisha na mtu kwa wakati huo wa miaka miwili maana nilihisi kuna siku hatarudi.
nilipofika chuoni mwaka kwanza mara waopili nikaona bora kuchukua mtu mwingine na huyo alikuwa dada mmoja ambaye nilimzoea sana kwa karibu miaka miwili hapo chuoni
tuliendelea vizuri mpaka tulipomaliza masomo baada ya hapo yeye alikwenda kusoma ulaya MBA mimi nilianza kazi bongo
aliporudi nilikuwa tayari kuoa lakini kila nikimwambia twende kwa wazazi hataki na akafikia hatua siku moja akiniambia yeye hayupo tayari kuanza maisha ya ndoa mpaka baada ya miaka 5 au zaidi
hiyo ni pamoja na mimi naye kuka kama kaka na dada hali tulikuwa tunafanya kila kitu hapo siku za nyuma
basi mimi nikaona hisiwe shinda nika mwambia dada angu ananitafutia mchumba hiyo ilikuwa ni baada ya dada nikugabda sana kwa karibu miaka mitatu kwa nini sitaki kuoa hali nazeeka.
bas nikapata mtu nilipokuwa kwenye harakati za kuoa na wazazi wa pambe yapili nilisha wajulisha
wale watu wangu wawili wa zamani kwa wakati tofauti wamekuwa wakinitembelea sana kazini,
cha ajabu wananiata majina ya kimapenzi sasa mimi nashindwa kuwaelewa
kwa nini walikuwa wananikata sasa wanarudi?
nianze kwa kusema nilipokuwa kijana nilikuwa na maisha magumu sana kwa upande wa mahusiano/uchumba
nilipokuwa sekondari high nilikuwa na rafiki yangu wakike niliyempenda sana, lakini siku mmoja kwa hali ya mshangao aliniambia mimi na yeye basi kwa sababu wazazi wake wamegundua mahusiano yetu na hawataki yendelee,
nilimsihi tuendelee kwa siri lakini alisema hata tukiendelea hatuta kwenda kokote maana hawana mpango wa kuniona naye milele, kwa kuwa nilikuwa nimepigwa chini na wazazi kwa kutokana na maelezo ya bint mimi niliamua kuendela na mambo yangu
ilinitesa sana kwa miaka miwili yote ya form 5&6 maana hiyo ilikuwa first love na nilimpenda sana sikuweza kujiusisha na mtu kwa wakati huo wa miaka miwili maana nilihisi kuna siku hatarudi.
nilipofika chuoni mwaka kwanza mara waopili nikaona bora kuchukua mtu mwingine na huyo alikuwa dada mmoja ambaye nilimzoea sana kwa karibu miaka miwili hapo chuoni
tuliendelea vizuri mpaka tulipomaliza masomo baada ya hapo yeye alikwenda kusoma ulaya MBA mimi nilianza kazi bongo
aliporudi nilikuwa tayari kuoa lakini kila nikimwambia twende kwa wazazi hataki na akafikia hatua siku moja akiniambia yeye hayupo tayari kuanza maisha ya ndoa mpaka baada ya miaka 5 au zaidi
hiyo ni pamoja na mimi naye kuka kama kaka na dada hali tulikuwa tunafanya kila kitu hapo siku za nyuma
basi mimi nikaona hisiwe shinda nika mwambia dada angu ananitafutia mchumba hiyo ilikuwa ni baada ya dada nikugabda sana kwa karibu miaka mitatu kwa nini sitaki kuoa hali nazeeka.
bas nikapata mtu nilipokuwa kwenye harakati za kuoa na wazazi wa pambe yapili nilisha wajulisha
wale watu wangu wawili wa zamani kwa wakati tofauti wamekuwa wakinitembelea sana kazini,
cha ajabu wananiata majina ya kimapenzi sasa mimi nashindwa kuwaelewa
kwa nini walikuwa wananikata sasa wanarudi?