Walimu wengi ni mabalozi wa CHADEMA shuleni

Walimu wengi ni mabalozi wa CHADEMA shuleni

majjita 01

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
232
Reaction score
82
Kwa utafiti nilioufanya katika mashule mengi ya sekondari hapa nchini ni kuwa asilimia kubwa ya walimu wanaoajiriwa siku hizi ni zao na wapenzi wazuri wa CHADEMA toka vyuo mbalimbali hapa nchini.

Kutokana na ukweli huu hii hali inapelekea hawa walimu wanakuwa mabalozi wazuri sana katika kuitangaza chadema na kuweka mizizi kwa vijana wengi ambao ni wanafunzi wa mashule wanayofundisha.

Kwa mfano, mimi na rafiki zangu kama team ya watu watano tupo shule moja hapa nchini Katika utaratbu tuliojiwekea ni kuwa kila tunapozama kipindi kila mmoja anatumia dakika zisizopungua tano kuwaeleza wanafunzi mabaya yote yaliyofanywa na yanayozidi kufanywa na chama cha CCM. Na pia tunatumia mda huo huo kuwaeleza mazuri yooote yanayofanywa na chadema katika kuwatetea wanyonge na jinsi inavyo pambana na mafisadi hapa nchini.

Pia tunatumia nafasi hii pale tunapokuwa tupo zamu, ambapo pale mstarini tunatumia dk kadhaa kuubili mambo mazuri ya chadema na ufisadi wa ccm.Shule yetu ina zaidi ya wanafunzi 1000.

Kwa hiyo mpaka sasa zaidi ya robo tatu ya shule nzima pamoja na STAFF ni watu wa PEOPLE'S POWER.


#BACK TANGANYIKA
 
Munasoma kweli nyie, au muenda shule kuhubili CHADEMA

ELIMU YA TANZANIA imechomwa moto, baadala ya kusoma na kujadili topic za masomo. munajadili CHADEMA
 
Habari nzuri hii mkuu,hongera hata Mimi sehemuyangu napofanya kazi wembe nihuo huo ila nimefurahi sana ofisi yetu moja mkoa 1 huko nyanda za juu kusini wafanyakazi wote ni Cdm mpaka boss wetu
 
Munasoma kweli nyie, au muenda shule kuhubili CHADEMA

ELIMU YA TANZANIA imechomwa moto, baadala ya kusoma na kujadili topic za masomo. munajadili CHADEMA


KWA taarifa YAKO MAPINDI TUNAGONGA VEMA SANA HADI MADOGO WANATUKUBALI.

PIA KATIKA VIPINDI VYA DK 80 SIYO DHAMBI KUTUMIA DK 5. PIA KUMBUKA MASOMO MENGINE NI YA SIASA KWA HIYO HII HAIEPUKIKI
 
chadema imeshikilia na kujikita kutenda yale yote(mema) ya azimio la Arusha....

"Tumeonewa kiasi cha kutosha, tume nyonywa kiasi cha kutosha, tume puuzwa kiasi cha kutosha. Unyonge wetu ndio uliotufanya tuonewe, tunyonywe na kupuuzwa. Sasa tunataka mapinduzi, mapinduzi ya kuondoa unyonge ili tusionewe tena, tusinyonywe tena na tusipuuzwe tena".
 
Munasoma kweli nyie, au muenda shule kuhubili CHADEMA

ELIMU YA TANZANIA imechomwa moto, baadala ya kusoma na kujadili topic za masomo. munajadili CHADEMA

krap krap krap....
Andika yako ni Majanga, rudi kwanza shule Mkuu.

pathetic...
 
Kwa utafiti nilioufanya katika mashule mengi ya sekondari hapa nchini ni kuwa asilimia kubwa ya walimu wanaoajiriwa siku hizi ni zao na wapenzi wazuri wa CHADEMA toka vyuo mbalimbali hapa nchini.

Kutokana na ukweli huu hii hali inapelekea hawa walimu wanakuwa mabalozi wazuri sana katika kuitangaza chadema na kuweka mizizi kwa vijana wengi ambao ni wanafunzi wa mashule wanayofundisha.

Kwa mfano, mimi na rafiki zangu kama team ya watu watano tupo shule moja hapa nchini Katika utaratbu tuliojiwekea ni kuwa kila tunapozama kipindi kila mmoja anatumia dakika zisizopungua tano kuwaeleza wanafunzi mabaya yote yaliyofanywa na yanayozidi kufanywa na chama cha CCM. Na pia tunatumia mda huo huo kuwaeleza mazuri yooote yanayofanywa na chadema katika kuwatetea wanyonge na jinsi inavyo pambana na mafisadi hapa nchini.

Pia tunatumia nafasi hii pale tunapokuwa tupo zamu, ambapo pale mstarini tunatumia dk kadhaa kuubili mambo mazuri ya chadema na ufisadi wa ccm.Shule yetu ina zaidi ya wanafunzi 1000.

Kwa hiyo mpaka sasa zaidi ya robo tatu ya shule nzima pamoja na STAFF ni watu wa PEOPLE'S POWER.


#BACK TANGANYIKA

siyo kweli walimu si wale walio feli na diploma za kubahatisha huwa wanayumba sana wakiongezewa 500 kwenye wanaenda kijani
 
Kwa utafiti nilioufanya katika mashule mengi ya sekondari hapa nchini ni kuwa asilimia kubwa ya walimu wanaoajiriwa siku hizi ni zao na wapenzi wazuri wa CHADEMA toka vyuo mbalimbali hapa nchini.

Kutokana na ukweli huu hii hali inapelekea hawa walimu wanakuwa mabalozi wazuri sana katika kuitangaza chadema na kuweka mizizi kwa vijana wengi ambao ni wanafunzi wa mashule wanayofundisha.

Kwa mfano, mimi na rafiki zangu kama team ya watu watano tupo shule moja hapa nchini Katika utaratbu tuliojiwekea ni kuwa kila tunapozama kipindi kila mmoja anatumia dakika zisizopungua tano kuwaeleza wanafunzi mabaya yote yaliyofanywa na yanayozidi kufanywa na chama cha CCM. Na pia tunatumia mda huo huo kuwaeleza mazuri yooote yanayofanywa na chadema katika kuwatetea wanyonge na jinsi inavyo pambana na mafisadi hapa nchini.

Pia tunatumia nafasi hii pale tunapokuwa tupo zamu, ambapo pale mstarini tunatumia dk kadhaa kuubili mambo mazuri ya chadema na ufisadi wa ccm.Shule yetu ina zaidi ya wanafunzi 1000.

Kwa hiyo mpaka sasa zaidi ya robo tatu ya shule nzima pamoja na STAFF ni watu wa PEOPLE'S POWER.


#BACK TANGANYIKA

Hata darasani kabla ya kuanza somo la hisabati
 
mkuu asante ila ongeza na hii.
1. polisi wengi ni ppls power japo wanafata amri ya bosi usishangae siku moja wakagoma.
2. CCM WENYEWE WAKO PPLS POWER ILA KWA MASLAHI HAWAJIONYESHI ILA KUMBUKA KURA NI SIRI YA MTU 2015 UKAWA 98% VOTE YES



Kwa utafiti nilioufanya katika mashule mengi ya sekondari hapa nchini ni kuwa asilimia kubwa ya walimu wanaoajiriwa siku hizi ni zao na wapenzi wazuri wa CHADEMA toka vyuo mbalimbali hapa nchini.

Kutokana na ukweli huu hii hali inapelekea hawa walimu wanakuwa mabalozi wazuri sana katika kuitangaza chadema na kuweka mizizi kwa vijana wengi ambao ni wanafunzi wa mashule wanayofundisha.

Kwa mfano, mimi na rafiki zangu kama team ya watu watano tupo shule moja hapa nchini Katika utaratbu tuliojiwekea ni kuwa kila tunapozama kipindi kila mmoja anatumia dakika zisizopungua tano kuwaeleza wanafunzi mabaya yote yaliyofanywa na yanayozidi kufanywa na chama cha CCM. Na pia tunatumia mda huo huo kuwaeleza mazuri yooote yanayofanywa na chadema katika kuwatetea wanyonge na jinsi inavyo pambana na mafisadi hapa nchini.

Pia tunatumia nafasi hii pale tunapokuwa tupo zamu, ambapo pale mstarini tunatumia dk kadhaa kuubili mambo mazuri ya chadema na ufisadi wa ccm.Shule yetu ina zaidi ya wanafunzi 1000.

Kwa hiyo mpaka sasa zaidi ya robo tatu ya shule nzima pamoja na STAFF ni watu wa PEOPLE'S POWER.


#BACK TANGANYIKA
 
Back
Top Bottom