Walimu watangaza mgomo nchi nzima

Pakudu am supporter 2 you ndio tupo kufanya mitihani ya kumaliza chuo kikuu kuanzia 2011/2012 hii professinal ya ualimu tutakikisha tumeirudishia hadhi machoni pa watu na jamii kwa ujumla uoga wa enzi za nyerere tutaokomesha mkoba na chama chake ni kudelete kama walivyo fanya Egypt&Tunisia now i'm going through changes.
 
tumechoka kelele zenu kama vipi msifanye kazi kwa siku tatu tu lazima mpewe haki yenu na sio stori kwenye magazeti..
 
Hawa waalimu wa Tanzania very hopeless yaani kila mara mikwara ya kitoto na kuwatishia Serikali ya CCM lakini ikikaribia sikukuu yoyote wakapewa Tshirt na ahadi za bulicheka wanashangilia kama mazuzu na funga kazi ni wakati wa uchaguzi wanapopata ajira ya muda na posho kedekede wanasahau mabilioni wanayoyadai.MTATESEKA MPAKA MTAKAPOFUNGUA NA KURUDISHA AKILI ZENU MLIZO WAAZIMA CCM
 
taratibu na sheria zinafuatwa, na tutagoma this time though wanaotharika ni watoto wa mtanzania wa kawaida sababu wengi wao ndo wamejazana ktk public schools na wazazi hawana uwezo wa kuwalipia tuition na wasipofaulu wanabaki pale pale na umaskini wao, huku watoto wa vigogo wakipata elimu nzuri na wanakuja kurithi kwa baba zao na maskini anazidi kurudi nyuma, so wakati mwingine huruma inatufanya tufundishe coz mtaji wa CCM ni umaskini na ujinga wa mtanzania ila sasa its over na Upendo wa mshumaa
 
Hawa waalimu wa Tanzania very hopeless yaani kila mara mikwara ya kitoto na kuwatishia Serikali ya CCM lakini ikikaribia sikukuu yoyote wakapewa Tshirt na ahadi za bulicheka wanashangilia kama mazuzu na funga kazi ni wakati wa uchaguzi wanapopata ajira ya muda na posho kedekede wanasahau mabilioni wanayoyadai.MTATESEKA MPAKA MTAKAPOFUNGUA NA KURUDISHA AKILI ZENU MLIZO WAAZIMA CCM
Hilo ulilosema ni kweli kaka ila wanaotuponza ni walimu wa shule za msingi na wengi kwa idadi hurubunika na hili husababishwa na wengi wa walimu wa msingi elimu ni ndogo, hawajui haki zao wanatshwa kila rahisi, wengine wanatumia vyeti vya marehemu, na wengine ni wake wa watumishi wa serikali na watawala huko so mgomo ni kama uasi kwa wenza wao. Mf mzuri ni deni la walimu lilikuwa bil 32 serikali ikalipa bil 18 tena asilimia kubwa kwa walimu wa msingi sekondari tukatoswa.Tatizo lingine ni mgawanyiko na propaganda zinazoendeshwa na viongozi wa CWT kati ya walimu wa sekondari na msingi kwa maslahi yao hutumia wingi wa walimu wa msingi kushinda chaguzi (Makatibu na wenyeviti wengi wa CWT ni walimu wa msingi ) na wanajali maslahi yao sio ya walimu.Mwaka huu tutafanikiwa kwanza kumekuwa na ongezeko la walimu wa msingi vijana wenye qualification kutoka vyo vya serikali na hivi vya private ambavyo vimeibuka kila mahali ka uyoga na huko nidhamu za ''kinyererenyerere'' hamna na kwa sababu ni vijana wenzetu tunamingle vizuri tu najua wale wazee wazee wa kusema ''enzi zetu sisi'' watakataa kugoma hao ndo tutawachapa bakora experience zetu za migomo chuoni tutazileta huku ktk field
 
Hilo ulilosema ni kweli kaka ila wanaotuponza ni walimu wa shule za msingi na wengi kwa idadi hurubunika na hili husababishwa na wengi wa walimu wa msingi elimu ni ndogo, hawajui haki zao wanatshwa kila rahisi, wengine wanatumia vyeti vya marehemu, na wengine ni wake wa watumishi wa serikali na watawala huko so mgomo ni kama uasi kwa wenza wao. Mf mzuri ni deni la walimu lilikuwa bil 32 serikali ikalipa bil 18 tena asilimia kubwa kwa walimu wa msingi sekondari tukatoswa.Tatizo lingine ni mgawanyiko na propaganda zinazoendeshwa na viongozi wa CWT kati ya walimu wa sekondari na msingi kwa maslahi yao hutumia wingi wa walimu wa msingi kushinda chaguzi (Makatibu na wenyeviti wengi wa CWT ni walimu wa msingi ) na wanajali maslahi yao sio ya walimu.Mwaka huu tutafanikiwa kwanza kumekuwa na ongezeko la walimu wa msingi vijana wenye qualification kutoka vyo vya serikali na hivi vya private ambavyo vimeibuka kila mahali ka uyoga na huko nidhamu za ''kinyererenyerere'' hamna na kwa sababu ni vijana wenzetu tunamingle vizuri tu najua wale wazee wazee wa kusema ''enzi zetu sisi'' watakataa kugoma hao ndo tutawachapa bakora experience zetu za migomo chuoni tutazileta huku ktk field

Hivi waalimu wanaweza kuchezewa akili zao na CCM kirahisi hivi?Huyo msanii Mukoba na wenzake wapigwe chini muweke watu serious vinginevyo itakuwa vitisho ambavyo hata watawala watawazoea na watajiaandaa kuwanyamazisha kwa Tshirt na posho za uchaguzi.Poleni sana kwa mateso ya ualimu na hongereni kwa upendo wa Mshumaa!!!!!!!!!!!!
 
Tatizo walimu wanayumbishwa sana na hawa viongozi wa CWT huwa wanatangaza mgomo lakini cku zikikalibia huyo rais anaanza kuyumbisha walimu. Mm nawashauri walimu wenzangu mgomo usipofanyika tujitoe wote kwenye hicho chama cha walimu tuunde chama huru kingine. Tunausubiri huo mgomo kwa hamu sana serikali imezidi kutukandamiza sana, tunaishi maisha ya kimaskini sana.
 
tunye tunye umeona eeeeh CWT ka vp iundwe upya hivi kodi ya yale majengo ya CWT yaliyojengwa na michango zinaenda wapi?
 
Hapo hakuna cha kuhurumia watoto wa masikini ndo wako kwenye public schools, cha msingi ni impact/matokeo ya huo mgomo baada ya kufanyika, je utawasaidia au ndo utakuwa mzigo zaidi kwao? Kama hamgomi na hakuna mnachoweza kuwasaidia hawa watoto masikini zaidi ya kuendelea kuwapa misifuri kwenye mitihani bila kuambulia hata ujuzi/ukombozi! Hamuoni hamzitendei haki nafsi zenu? Ze maadili yenu mnayafuata kweli nyie walimu au ndiyo mzee ndo hadi kwenye professional zenu? Walimu acheni politics bana fanyeni kustick kwenye professional yenu tuone kama matabaka yataendelea kuwepo!! Naimani kama mtastick kwenye inshu zenu na siyo siasa, hakutakuwa na hizi kelele za matangazo kila wakati, shule binafsi zinafanya vizuri. point yangu hapa ni kuwa!! daini haki zenu ili mpate morali ya kuwasaidia watoto wa masikini, msaidie nchi, na mkumbukwe katika mapinduzi ya elimu yatakayokea kwa sababu ya mafanikio ya mgomo wenu!!

Next time, I don't wanna hear politics from you teachers! Only actions!! Mnatuchefua sana jamani!! I am a natural Mathematician teacher but when it comes helping young people about mathematics I willingly help them tena kwa bure and most of them wanapasua vibaya sana, ukiwauliza mwalimu wao wa hesabu, wanasema Mwalimu wao anaingia darasani kanywa "Gongo" tena inatema mbaya hata kusikiliza inakuwa tabu. Hapo nafanya kuconnect dotes na kuona its all about teachers wage are being too low regardless of their contributions to the country.

Its time to show the Government that you need your professional to be respected tena ikiwezekana wanaopata "Division One form six" wakimbilie ualimu.
 
Madaktari waligoma na mishahara ilipandishwa kwa asilimia 100, hiyo ilikua 2005. wao ni vitisho tu hadi sasa mishahara yao ni midogo. mwalimu mwenye degree mshara wake ni sawa na Nurse mwenye certificate. Endeleeni kuitishia Nyau serikali ya Magamba kama mtasikilizwa
 
Hii kali, umeme shida, mishahara ya watumishi taabu, mafuta janga la kitaifa, maisha magumu sasa serikali iko wapi.,

KIKWETE NAKUOMBA UFANYE MAAMUZI MAGUMU, UKO WAPI MBONA HAUKO KAMA RAIS?, KWA NINI UKO KIMYA KIASI HICHO????
 
Kwa vile kuna walimu vijana, wajuzi wa mambo machachari na baadhi yao wengine (oldies) wana shahada, kati na juu wameajiriwa na serikali. Na kwa kuwa uwezo wa kuongoza wanao, nia thabiti ya kuongoza ipo na kwa kuwa wapo tayari kutafuta haki zao hata pale inapohatarisha ajira zao basi kuanzia sasa waanze kufikiria kumpokonya mikoba huyu Mkoba wenu. Hafai kuwa kiongozi. Yumkini ameshachakachuliwa na serikali. Huyu si wa msaada kwenu. Chukueni hatua. Badilisheni safu za uongozi wa chama cha walimu. Hawa walimu wazee mkiwaacha wawaongoze imekula kwenu. Walimu vijana ndio hazina. Utamfanyeje mwalimu mzee anapokuwa kiongozi na siku si nyingi anastaafu? Atawasaidia nini? Poor guys!!!!!!!!!

NI JUU YENU KUSUKA AU KUNYOA. NA KAMA NI KUNYOA BASI FANYENI KAZI KWA UPENDO NA KUNA KILA SABABU ZA KUWAWAJIBISHA KAMA HAMCHAPI KAZI. KWA MAANA MMECHAGUA ILE KAULI INAYOSEMA" UALIMU NI WITO". NA KAMA MNADAI HAKI BASI MTAKUWA MMECHAGUA KAULI NYINGINE ISEMAYO " UALIMU NI KAMA KAZI au ajira NYINGINE"

Sasa tuone, mtafanya nini.
 
Nilishangaa kuona walimu kule Singida eti wanapewa "suprise" na M. Dewji ya shs 50,000 kwenye bahasha wao wanashangilia. Yaani badala yakutafuta long-term soln wao wanasheherekea shs 50,000 nakusahau tatizo. Walimu wanatakiwa wajue serikali haiwafanyii favor kuwapa mishahara na mahitaji muhimu; ni haki yao na hakuna haja ya negotiations. Wale wakule Singida walitakiwa wachukue the so called "suprise" lakini at the same time wambane/wamuulize Mo if he ever miss his salary leave alone the posho. Je, Dewji ameshawahi kuwasilisha kilio chao hata siku moja kwenye bunge?
 
Ni kweli kuwa tatizo kubwa ktk kufanya migomo ya kudai haki inarudishwa nyuma na walimu wa shule za msingi. Sasa kama mnaona kuwa huo ni ugonjwa; sidhani kama mtapona. Kwisha kazi zenu. Walimu hao hao wa shule za msingi wengi wao wanakufa kwa kunywa pombe za kienyeji hasa "gongo". Hali ya maisha imekuwa bachuru.

Kweli kazi ipo.
 
Back
Top Bottom