Pakudu am supporter 2 you ndio tupo kufanya mitihani ya kumaliza chuo kikuu kuanzia 2011/2012 hii professinal ya ualimu tutakikisha tumeirudishia hadhi machoni pa watu na jamii kwa ujumla uoga wa enzi za nyerere tutaokomesha mkoba na chama chake ni kudelete kama walivyo fanya Egypt&Tunisia now i'm going through changes.