Walimu wapya wilaya ya Muleba wamegoma kuchukua fedha za kujikimu ya siku 4 badala ya siku 7(diploma°ree)..afisa elimu na mkurugenz wamesema eti ndo agizo la kutoka wizara elimu na bado wakazid kuchakachua eti waliopangiwa shule zalizopo halimashauri ni sh 45 na wale wa vijjn ni 35, 25..duh mwl wa tanzania bado hali ni ngumu!