Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,969
Kitendo cha wakuu wa shule Tanzania bara kumchangia Samia pesa za kuchukulia fomu na wakuu wa Zanzibar nao kumachangia Hussein fomu ni ishara tosha kuwa hawafai kusimamia Uchaguzi Mkuu na wowote ule kwakuwa hawatakuwa fair.
NEC ikumbuke hilo maana litaleta malalamiko sana na rufaa nyingi toka vyama vya upinzani kwa watu waliokwishatangaza maslahi yao kuweza kutoonesha upendeleo
NEC ikumbuke hilo maana litaleta malalamiko sana na rufaa nyingi toka vyama vya upinzani kwa watu waliokwishatangaza maslahi yao kuweza kutoonesha upendeleo