Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,842
Habari wana jukwaa.
Hivi karibuni kumekuwa na mtindo wa walimu hasa wa shule za msingi kuwarekodi watoto na kisha kuzisambaza video hizo,
Binafsi nimefanikiwa kuona video 3 za walimu hao na zote zinaonesha si tu uelewa mdogo wa mwanafunzi bali pia ujinga wa aliyepewa dhamana ya kuuondoa ujinga wa mwingine.
Mwalimu anamuuliza mtoto kwanini hakuja shule? Mtoto anajabu hakuja kwa sababu alifariki. Kiswahili anachotumia mwalimu huyo na majibu ya mwanafunzi inaonesha kuna tatizo kubwa katika jamii.
Cha kujiuliza ni nini kinapelekea mtu kumrekodi mtu aliyepewa dhamana ya kumvusha toka alipo, halafu anamsambaza mitandaoni. Au ni stress za udogo wa mishahara?
Hivi karibuni kumekuwa na mtindo wa walimu hasa wa shule za msingi kuwarekodi watoto na kisha kuzisambaza video hizo,
Binafsi nimefanikiwa kuona video 3 za walimu hao na zote zinaonesha si tu uelewa mdogo wa mwanafunzi bali pia ujinga wa aliyepewa dhamana ya kuuondoa ujinga wa mwingine.
Mwalimu anamuuliza mtoto kwanini hakuja shule? Mtoto anajabu hakuja kwa sababu alifariki. Kiswahili anachotumia mwalimu huyo na majibu ya mwanafunzi inaonesha kuna tatizo kubwa katika jamii.
Cha kujiuliza ni nini kinapelekea mtu kumrekodi mtu aliyepewa dhamana ya kumvusha toka alipo, halafu anamsambaza mitandaoni. Au ni stress za udogo wa mishahara?