Walimu waitwa Wilayani kutoa copy barua zao za ajira

1954tanu

JF-Expert Member
Jul 19, 2013
1,038
487
Walimu wapya walioajiriwa mwaka jana 2015 wametakiwa kufika makao makuu ya wilaya ambako wameajiriwa kwenda kutolesha "copy" barua zao za kuthibitishwa kazini. Tendo hili limefanyika katika baadhi ya Halmashauri za Wilaya.

Walimu hao wanapofika halmashauri wanapewa nakala ya barua ambayo huelekezwa wakaitoe nakala (copy) kisha huirejesha barua orijino na nakala katika ofisi husika na kuambiwa zoezi la kuitwa wilayani hapo limekamilika.

Kinachoshangaza ni huo wito wa kumtaka mwalimu asafiri umbali wa takribani kilomita 70 kwenda kutoa nakala ya barua ya ajira. Na kila mwalimu mhusika anapaswa kwende yeye binafsi asimtume au kumwagiza mwenzie.

TANZANIA Vituko HAVIISHI
 
Labda wanahakiki walimu,kama huna barua ya ajira na barua ya kuthibitishwa kazini upewe au uondolewe kazini.
 
Ni wilaya ipi hiyo ambayo mwalimu yuko umbali wa Km 70 kutoka halmashauri?
We naye kweli ni jingalao...yaani hujui kama.kuna wilaya ambazo mtu anasafiri km70 kwenda makao makuu ya wilaya? Unapajua kilosa? Mtu atoke kijiji cha Malolo karibu na iringa huko aende kilosa mjini unadhani ni km ngapi? Ni zaidi ya km80 na hali hiyo ni.sehem nyingi kwa hapa tanzania...tatizo lenu wengine mnadhan Tanzania ni Dar pekee au kila sehemu ni kama Dar
 
Walimu wapya walioajiriwa mwaka jana 2015 wametakiwa kufika makao makuu ya wilaya ambako wameajiriwa kwenda kutolesha "copy" barua zao za kuthibitishwa kazini. Tendo hili limefanyika katika baadhi ya Halmashauri za Wilaya.

Walimu hao wanapofika halmashauri wanapewa nakala ya barua ambayo huelekezwa wakaitoe nakala (copy) kisha huirejesha barua orijino na nakala katika ofisi husika na kuambiwa zoezi la kuitwa wilayani hapo limekamilika.

Kinachoshangaza ni huo wito wa kumtaka mwalimu asafiri umbali wa takribani kilomita 70 kwenda kutoa nakala ya barua ya ajira. Na kila mwalimu mhusika anapaswa kwende yeye binafsi asimtume au kumwagiza mwenzie.

TANZANIA Vituko HAVIISHI
Kila jambo mnaandika ki mlengo wa kuuza
Useme ni wilaya ipi au kijiji kipi kufika wilayani kuna 70km?
Na umeona lipi la ajabu hapo kuhakiki walimu wapya hao
 
Kila jambo mnaandika ki mlengo wa kuuza
Useme ni wilaya ipi au kijiji kipi kufika wilayani kuna 70km?
Na umeona lipi la ajabu hapo kuhakiki walimu wapya hao

data=RfCSdfNZ0LFPrHSm0ublXdzhdrDFhtmHhN1u-gM,UHt5sji60XJY87dxNcigN8hgC1nAeJsSJrocOOq7bJ9GCsjuVSvM2umu87yPjJZDyuqAFjaeyoTq49D8Y5zKEUsT0FaQcr8SMPl0oAQ68uNUFu2CC2Ynix1Yd4wIuaUKrnkV8wC1GDGxeKY_3qxene7aHW70u2TV75e1DTWcLWE6JmZvaMZ_YNhhW1b7bg0oUxIIZMD2tDH-cygRbPmgNYMCdxVOZcMevkYQTY_6US7sqA

70.2 km
Distance from Malolo to Kilosa
Ramani za Google
fungua hii link.
 
Kila jambo mnaandika ki mlengo wa kuuza
Useme ni wilaya ipi au kijiji kipi kufika wilayani kuna 70km?
Na umeona lipi la ajabu hapo kuhakiki walimu wapya hao
nadhani wewe unanua wilaya zote tanzania ni kama wilaya ya ilala au temeke.....hivi unajua urefu wa kutoka shule ya msingi uganga hadi makete mjini ni zaidi ya 100km
 
Back
Top Bottom