Huku chama cha walimu kikiwa bado kimya kuhusiana na mgomo wa walimu.Walimu mkoani Dodoma wameanza mgomo huo kimya kimya katika shule mbalimbali za mkoa huu.
Nikiongea na baadhi ya walimu ambao hawakutaka majina yao kutajwa hadharani wamesema hawatasubiri tamko la CWT kwani wao ndio wanaoathirika kwa kiasi kikubwa.
Wametoa wito kwa walimu nchini kote kupigania haki zao wenyewe na wameomba kuungwa mkono katika swala hili na pia wamewaomba walimu kuacha woga kwani woga ndio yatakuwa mateso yao.
Nikiongea na baadhi ya walimu ambao hawakutaka majina yao kutajwa hadharani wamesema hawatasubiri tamko la CWT kwani wao ndio wanaoathirika kwa kiasi kikubwa.
Wametoa wito kwa walimu nchini kote kupigania haki zao wenyewe na wameomba kuungwa mkono katika swala hili na pia wamewaomba walimu kuacha woga kwani woga ndio yatakuwa mateso yao.