Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,133
- 2,128
Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakati.
N:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.
N:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.