Walimu Waandamana - Kasulu

Walimu Waandamana - Kasulu

Mapambano Yetu

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
1,133
Reaction score
2,128
Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakati.


N:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.
 
Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakN:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.
TAMISEMI matatizo kila kona.
 
Urambo jiandaeni maandamano yanakuja, Mkurugenzi hataki kupandisha madaraja kwa wakati kwa nini?
 
Walimu komaeni kudai haki zenu.Huu si wakati wa kulalamika.Mkuu wa nchi alalamike, Waziri mkuu alielie,Wabunge nao walalamike. Sasa nani atatusaidia ? Njia pekee ni sisi wananchi kuchukua hatua....
 
Singida vijijini napo majanga.
Kuna Walimu hawajapandishwa toka 2007.
Maandamano yamekarbiia kabisa.
 
si ndio hawa wanaotumiwa na serikali kuchakachua kura za upinzani, nasema na wasilipwe kabisa na wakiandamana wapigwe mabomu
 
Hawajapewa shavu selikali za mitaa. Maana kwenye chaguzi walimu ndio wanapataga visenti vya chumvi harafu kimyaa.
 
Wameandamana wakishinikiza kulipwa madeni yao zaidi ya Milioni 78 na kuituhumu halmashauri kutowapandisha madaraja kwa wakati.


N:B halmashauri ya Morogoro jiandaeni haiwezekani mwalimu aliyeajiriwa mwaka 2011 bado anapokea mshahara sawa na waajiriwa wapya bila increment yoyote.

kwani halmashauri ndiyo inayopandisha madaraja?
 
Walim wenyewe wengi waoga,wanaogopa srikali ka nin na hasa wa primary
 
si ndio hawa wanaotumiwa na serikali kuchakachua kura za upinzani, nasema na wasilipwe kabisa na wakiandamana wapigwe mabomu

Kwa jinsi ninavo chukia walimu wanafiki wa bongo mi naomba wavunjwe na viuno kabisa!
 
Hivi haya matatizo ya kutopandishwa madaraja yapo katika idara ya elimu tu au na idara nyingine pia? Nauliza hivyo kwa sababu mara nyingi nasikia malalamiko kama haya kwa walimu tu.
 
Back
Top Bottom