Walimu wa upe waheshimiwe, wametoa maprofesa kibao

Walimu wa upe waheshimiwe, wametoa maprofesa kibao

MSHINO

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2013
Posts
1,069
Reaction score
713
Wanajamvi,

Kuna walimu walioingia ktk taaluma ya ualimu bila kufika elimu ya sekondari, hayati baba wa Taifa (RIP) alifanya hivyo ili kufuta ujinga, lakini walimu hawa walikuwa wanajituma sana tofauti na walimu wa sasa.

Lakini bahati mbaya hawapati heshima stahiki japo wameweza kufundhisha mpaka baadhi ni wahandisi, madaktari, maprofesa na nk.

Jamani tuwakumbuke na tuwaheshimu hasa waliosoma zamani.
 
Wana jamvi kuna walimu walioingia ktk taaruma ya ualimu bila kufika elimu ya secondary, hayati baba wa Taifa (RIP) alifanya hivyo ili kufuta ujinga, lkn walimu hawa walikuwa wanajituma sana tofauti na walimu wa sasa. lkn bahati mbaya hawapati heshima stahiki japo wameweza kufundhisha mpaka baadhi ni wahandisi, madakatari, maprofessor na nk. Jamani tuwakumbuke na tuwaheshimu hasa waliosoma zamani.


Mwalimu gani alikufundisha kuandika
taaruma
lkn
madakatari
maprofessor
upe

Yawezekana una hoja ya msingi lakini hujaipanga vema, nani amekwambia mwalimu wa UPE anashiba au anastawi kwa kupewa heshima
 
Walimu wote bila kuwatenganisha sifa zao wanaumuhimu mkubwa kwa maendeleo ya Taifa lolote.Ni Tanzania miaka ya hivi karibuni ndo wamepuuzwa.Naamini matokeo ya kuwapuuza yanaonekana.
 
Mkuu "heshima" ni dhana pana inajumuisha vyeo,mishahara yenye tija n.k
 
wengi wao wako kwenye umri wa kustaafu na wengine wameshastaafu tayari. walikuwa walimu safi sana kwa kizazi kile. ila kwa fimbo ilikuwa ni balaaa..!!
 
Back
Top Bottom