Walimu wa Shule za Msingi hawazeeki haraka

Walimu wa Shule za Msingi hawazeeki haraka

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,606
Wakuu.

Fanya uchunguzi mdogo wa waalimu wako waliokufundisha shule ya msingi miaka hiyo, saivi kila unaporudi likizo wapo stable , wakakamavu na strong kabisa. Ila jikague wewe mwenye umri mdogo, unazeeka na kuchoka kwa speed ya ajabu sana.

Unamkuta mwalimu mstaafu over 10 years lakini yuko fiti kabisa , wachache sana wanatumia miwani.

Check sasa mtu aliyestaafu wa kada nyingine, anachoka haraka mno na kufa mapema sana.

Nini siri ya walimu wa Shule za Msingi kuchelewa kuzeeka ?
 
Very simple chief....
Walimuwashulezamsingiwanaishimaishayakawaidasanahawanywibeerkutokananaugumuwamaishapamojanamishaharamidogo.
Aukamavipinawekasomeeualimuwachekecheandiohautozeekaharakakulikohatamwalimuwashuleyamsingi.
 
Nadhani mazoezi.
WEngi wana hali duni za maisha ivyo ata maisha yao ni ya kawaida sana.
Na pia kusimama siku zote izo ni mazoezi tosha sana ivyo kuwafanya kuwa fiti
 
Mada hiyi siipo humu ndani au ilifutwa mmeamza upya oooh ooh ngoja na mm niandike upya mada zangu za nyuma
 
Kuna mpuuzi kila nikirudi kijijini ananiuliza braza mbona Huna kitambi kama cha Alikombo, swali la kipumbafuu, ushamwona mwalimu kanenepeana hovyo!?

Juzi tu nilienda Masebe nikamuona mwalimu wangu Kila ni kijana kabisa....factors zipo nyingi kv kusoma, maisha ya kawaida humble life lakini yenye utoshelevu, stress free zone-we mfikirie ticha anaedeal na watoto wa lapili jinsi anavochangamka atapata wapi stress
 
Ila kuna wazee wa kazi kutoka shirika fulani kubwa sana, mfanyakazi akistaafu, kwa kweli (sio utani!) akimaliza miaka mitano, huyo ni ngangari kinoma!
Wengi tumejiuliza kuna tatizo gani huko?
 
Nilikutana na bibi wa miaka 100, bado anapika chai yake na anakwenda kuoga bila msaada wa mtu. Aliniambia alikua Mwalimu. Anao watu wa kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba. Mkikaa mnapiga stori, anakumbuka yaliyotokea mwaka 40, 50, 60 …
 
Nilikutana na bibi wa miaka 100, bado anapika chai yake na anakwenda kuoga bila msaada wa mtu. Aliniambia alikua Mwalimu. Anao watu wa kumpikia, kumfulia na kusafisha nyumba. Mkikaa mnapiga stori, anakumbuka yaliyotokea mwaka 40, 50, 60 …


Yuko wapi?
 
Siri ya kutozeeka haraka hamjajua bado?
 
Wakuu.

Fanya uchunguzi mdogo wa waalimu wako waliokufundisha shule ya msingi miaka hiyo, saivi kila unaporudi likizo wapo stable , wakakamavu na strong kabisa. Ila jikague wewe mwenye umri mdogo, unazeeka na kuchoka kwa speed ya ajabu sana.

Unamkuta mwalimu mstaafu over 10 years lakini yuko fiti kabisa , wachache sana wanatumia miwani.

Check sasa mtu aliyestaafu wa kada nyingine, anachoka haraka mno na kufa mapema sana.

Nini siri ya walimu wa Shule za Msingi kuchelewa kuzeeka ?
Kupiga chaki ndiyo siri ya kutozeeka.
 
Wakuu.

Fanya uchunguzi mdogo wa waalimu wako waliokufundisha shule ya msingi miaka hiyo, saivi kila unaporudi likizo wapo stable , wakakamavu na strong kabisa. Ila jikague wewe mwenye umri mdogo, unazeeka na kuchoka kwa speed ya ajabu sana.

Unamkuta mwalimu mstaafu over 10 years lakini yuko fiti kabisa , wachache sana wanatumia miwani.

Check sasa mtu aliyestaafu wa kada nyingine, anachoka haraka mno na kufa mapema sana.

Nini siri ya walimu wa Shule za Msingi kuchelewa kuzeeka ?
Walimu wanaishi maisha simple sana kutokana na vipato vyao vidogo ukilinganisha na yale mafisadi kule serikalini! Hivyo hata vyakula vyao vya kila siku huwa ni vile vyakula vya kawaida tu. (NB: vyakula karibia vyote vitamu wanavyokula watu wenye vipato vikubwa, ni sumu)

(Kiufupi tu hii kada haina marupurupu kabisa! Yaani ni kawaida sana kwenda kazini na kurudi bila hata 100 ya kuokota njiani, ukilinganisha na baadhi ya wafanyakazi wa kada zingine! Zaidi mke wa mwalimu anaweza tu kukuya majina ya wapiga kelele, au wachelewaji kwenye suruali ya mume wake)

Wako busy muda mwingi kulea/kufundisha watoto (watoto ni chanzo kimojawapo cha furaha ya kweli), hawana misongo ya mawazo ya hovyo hovyo (mfano kukamatwa baada ya kuiba fedha za serikali/taasisi kama wale wenzangu na mimi)! Hivyo lifestyle yao inachangia sana waendelee kudunda ukilinganisha na wale wateja sugu wa supermarket na malls!
 
Kitalaamu Ila sijafanya research ukiwa unafanya kazi Kama kusoma kazi Sana kuzeeka.
Yaani wewe kuwa Soma Soma uzee unachelewa Sana ndo Siri mkuu. Jaribu kuongea na Hawa waliotuletea elimu Kama una koneksheni nao Ila sio ya mirinda Mana wabongo bana akili zetu
 
Very simple chief....
Walimuwashulezamsingiwanaishimaishayakawaidasanahawanywibeerkutokananaugumuwamaishapamojanamishaharamidogo.
Aukamavipinawekasomeeualimuwachekecheandiohautozeekaharakakulikohatamwalimuwashuleyamsingi.
Account hacked!
Ushmen!
 
Back
Top Bottom