Ighombe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 1,195
- 690
We jamaa hali duni ya maisha ndo inafanya MTU asizeeke kama hivyo wakulima wa jembe LA mkono wasingezeeka kbsNadhani mazoezi.
WEngi wana hali duni za maisha ivyo ata maisha yao ni ya kawaida sana.
Na pia kusimama siku zote izo ni mazoezi tosha sana ivyo kuwafanya kuwa fiti
