Walimu wa mkuu secondary mlikuwa mnafundisha au wanafunzi vichwa vigumu? Mmeitia aibu hii shule

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,227
16,178
9f2670b53e2101214ec84d14e00529f4.jpg
 
Hayo nimatokeo ya Private candidates mkuu, mziki wamapc uuskiage tuu, hataa hivyo wamejitahidi sana.
 
cha ajabuuu
Hakuna cha ajabu ila kuna tofauti kubwa kama ilivyo 6 na 9 pc unaweza ukajisajili tu kisha ukaja kufanya mtihani tu so hata usiposoma hapo unakaja kufanya mtihani tu ila school candidate ndio wanafunzi waliosoma hapo na kufanya mtihani hapo
 
Hakuna cha ajabu ila kuna tofauti kubwa kama ilivyo 6 na 9 pc unaweza ukajisajili tu kisha ukaja kufanya mtihani tu so hata usiposoma hapo unakaja kufanya mtihani tu ila school candidate ndio wanafunzi waliosoma hapo na kufanya mtihani hapo
Mkuu usiwatetee bana ina maana wanafunzi 90 wote wajisajili halafu wasisome hapo
 
Nilivyoyaona haya matokeo nilistuka sana
Nikawaza miaka ya nyuma
Nikawa najiuliza ni walimu au wanafunzi wagumu kuelewa
Labda kwa sababu hao ni private candidates.
Wanaweza kusema wamesoma under pressure.
Maana wana majukumu kwao + shule
 
229d6e98a122ba472a61debd6898e49b.jpg

Mara nyingi katika ku assess shule inafundishaje wanatumia matokeo ya school candidate tofauti na private candidate. Hapo kwenye school candidates ndio unaona picha halisi ya shule. Private candidates huwa wanaonekana shule kipindi cha kufanya mitihani tu, wachache ndio wanafundishwa na walimu wa shule husika ila yeye akishajisajili kwamba atafanya mtihani anaenda kusoma anapopajua yeye mwisho pepa ya necta ikifika anakuja kwenye kituo alichojisajili na kufanya mitihani. So huwezi kulaumu walimu au shule kwa kuangalia matokeo ya PCs
 
229d6e98a122ba472a61debd6898e49b.jpg

Mara nyingi katika ku assess shule inafundishaje wanatumia matokeo ya school candidate tofauti na private candidate. Hapo kwenye school candidates ndio unaona picha halisi ya shule. Private candidates huwa wanaonekana shule kipindi cha kufanya mitihani tu, wachache ndio wanafundishwa na walimu wa shule husika ila yeye akishajisajili kwamba atafanya mtihani anaenda kusoma anapopajua yeye mwisho pepa ya necta ikifika anakuja kwenye kituo alichojisajili na kufanya mitihani. So huwezi kulaumu walimu au shule kwa kuangalia matokeo ya PCs
Mkuu naomba uipige picha vizuri hiyo school candidate unitumie
 
Kila PC anamalengo yake,Mwingine anatafuta C moja tu,hayo mengine ni ya kusindikiza,kwa hiyo kwa maana hiyo yeye kama yeye hajafeli kwa malengo yake
 
Back
Top Bottom