nurbert
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 1,887
- 428
ACHENI UTANI HATA KAMA MISHAHARA MIDOGO!!.Ona huu mtihan wa terminal nimeunasa shule moja
1.Rais wa Sasa wa Tanzania ni Kikwe__
A)ta (b)te (c)ti (d)to (e)tu
2.Aliyefanya Tanganyka iwe huru ni Nyere__
a)ra (b)re (c)ri (d)ro (e)ru.
3.Mlima mrefu kuliko yote Afrika ni Kilima___ro
a)nja (b) nje (c)nji (d)njo (e)nju. 4.Tanzania imepakana na bahari ya hi___ a)nda (b)nde (c)ndi (d)ndo (e)ndu.
Kama mdau wa elimu unafikiri nchi tunaipeleka wap?
1.Rais wa Sasa wa Tanzania ni Kikwe__
A)ta (b)te (c)ti (d)to (e)tu
2.Aliyefanya Tanganyka iwe huru ni Nyere__
a)ra (b)re (c)ri (d)ro (e)ru.
3.Mlima mrefu kuliko yote Afrika ni Kilima___ro
a)nja (b) nje (c)nji (d)njo (e)nju. 4.Tanzania imepakana na bahari ya hi___ a)nda (b)nde (c)ndi (d)ndo (e)ndu.
Kama mdau wa elimu unafikiri nchi tunaipeleka wap?