miley
Member
- Aug 2, 2013
- 87
- 14
Pamoja katika sera za Wizara ya elimu kutoa tamko hakuna mtoto kumlipisha pesa za tuition, lakini shule hii mtoto kila siku lazima aende na sh, 2,000/ sh. 300 iyo quick test. 200 ya uji. 300 ya mtihani wa mchana. 500 ya masomo ya ziada jioni hata hivyo wanapewa maswali tu alafu wanabadilishana karatasi wanasahishana.
Mtoto hajala mchana, hapo hapo kuna siku za ijumaa mtihan sh. 1500 hadi 2000.
Walimu anachukua mkopo akitegemea marejesho kwa wanafunzi halafu mtoto akikosa viboko wakati iyo pesa anapewa na mzazi wake, kwa kweli hii hali afadhali ya shule za private.
Ukitoa pesa mtoto anasoma hadi mwisho.
Wakuu wa elimu naomba ilo mlione.
Mtoto hajala mchana, hapo hapo kuna siku za ijumaa mtihan sh. 1500 hadi 2000.
Walimu anachukua mkopo akitegemea marejesho kwa wanafunzi halafu mtoto akikosa viboko wakati iyo pesa anapewa na mzazi wake, kwa kweli hii hali afadhali ya shule za private.
Ukitoa pesa mtoto anasoma hadi mwisho.
Wakuu wa elimu naomba ilo mlione.