Walimu saba wanaishi nyumba moja ya vyumba vitatu

Walimu saba wanaishi nyumba moja ya vyumba vitatu

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,408
Reaction score
2,266
Moshi Walimu saba wa Shule ya Msingi Mikocheni iliyopo kata ya Arusha chini Wilaya Moshi mkoani Kilimanjaro wanaishi katika nyumba moja yenye vyumba vitatu.

Walimu hao ambao wanawake ni wanne na wanaume watatu wameeleza hayo leo Jumatano Januari 20, 2021.

Walimu.JPG
 
Moshi Walimu saba wa Shule ya Msingi Mikocheni iliyopo kata ya Arusha chini Wilaya Moshi mkoani Kilimanjaro wanaishi katika nyumba moja yenye vyumba vitatu.

Walimu hao ambao wanawake ni wanne na wanaume watatu wameeleza hayo leo Jumatano Januari 20, 2021.
vilaza kweli hao. wanasubiri nani awajengee sasa
 
Kwahiyo kip kifanyik I'll hay ya kusikitisha ety mkuu sio mpk Kila kitu serikal ifanye mengine lazima sisi kama.. jamii tumaliz
 
Kwahiyo kip kifanyik I'll hay ya kusikitisha ety mkuu sio mpk Kila kitu serikal ifanye mengine lazima sisi kama.. jamii tumaliz
Nini maana ya serikali! Acha uzwazwa. Jpm kafeli miserably ajiuzulu tu
 
Naomba unifanyie mpango wa kuniunganisha na huyo mwalimu wa kike anayebaki hana mtu humo ndani maana KE wako 4 ME wako 3
 
Sasa kama watu wanalipwa mishahara na wameamua kukaa nyumba moja watu 7 sasa inakuuma nin?

Ulishawah kutembelea kota za polisi hapa himo jinsi raia wanavyojazana kwa zile nyumba
 
Sasa kama watu wanalipwa mishahara na wameamua kukaa nyumba moja watu 7 sasa inakuuma nin?

Ulishawah kutembelea kota za polisi hapa himo jinsi raia wanavyojazana kwa zile nyumba
Hawana mishahara ndugu ni njaa tu na serikali imewaterekeza Bora jk arudi
 
Acha wavune matunda ya kusimamua uchaguzi,na kuchakachua,

Nyumba yenyewe ni hii,
 

Attachments

  • operanews1611157747635.jpg
    operanews1611157747635.jpg
    11.2 KB · Views: 5
Mbona watu 7 kwa vyumba 3 ni wachache sana ?

Ova
 
Kwani si wakapange. Mbona watumishi wengine sisi hatujawahi kulipiwa kodi na taasisi zetu. Tumepanga mpaka tulipojenga.
Yawezekana ujinga, ulofa na uchawi ndio sources
 
Apo wawe mme na mke,ili kubalance ecosystem mmoja ataoa wanawake wawili,maana hata akili hawana
 
Back
Top Bottom