Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,305
- 29,853
- Thread starter
- #81
@Tate Mkuu huwa nakushangaa sana nakuona mnafiki unashindwa kuwaambia ukweli badala yake unawakingia kifua na kuwasifia ilihali wanaishi maisha ya kutupwa. Mwalimu ni mtu wa hovyo sana hapa bongo. Watumishi wengine wakiwa wanaomba likizo hata kama zisizo na malipo ili wakae na Familia na kufanya michakato mingine ila walimu wanaomba shule zisifungwe waendelee kufundisha Bure khabisa wakati wa likizoWalimu njooni! Kumekucha huku!
Hawapewi extraduty Wala Overtime allowance wao powa tuu wanasema darasa la nne na lasaba hamtafunga, from two na form four hamtafunga , serikali inasema wanafunz wote wafunge wao hawataki. Kweli hawa viumbe ni mapunda ahsee