Stop that nonsense of involving Chadema in this rubbish affairHawa wafanyakazi wanaolalamika kwamba wametapeliwa mishahara yao wengi ni walimu, na wanashaangaa eti kwa nini Chadema haiwasemei. Huku John Mnyika akiwa busy na mambo mengine kama hakujatokea kitu nchini. Nilipo jaribu kufanya ka utafiti kadogo kwa nini Chadema hawashobokei hili jambo.
Haya ndio yalikuwa majibu walimu ndio mabingwa wa kuhujum uchaguzi, uwizi wa kura huwa wanatumika wao wakishirikiana na polisi.
Kwa hiyo kuingilia hili jambo ni kama kuwasaidia Polisi na walimu.
Kwa maneno mafupi Chadema wameamua kila afe na bakuri lake kama ambavyo wao huwa wanakufa!
Uache uzushi.Hawa wafanyakazi wanaolalamika kwamba wametapeliwa mishahara yao wengi ni walimu, na wanashaangaa eti kwa nini Chadema haiwasemei. Huku John Mnyika akiwa busy na mambo mengine kama hakujatokea kitu nchini. Nilipo jaribu kufanya ka utafiti kadogo kwa nini Chadema hawashobokei hili jambo.
Haya ndio yalikuwa majibu walimu ndio mabingwa wa kuhujum uchaguzi, uwizi wa kura huwa wanatumika wao wakishirikiana na polisi.
Kwa hiyo kuingilia hili jambo ni kama kuwasaidia Polisi na walimu.
Kwa maneno mafupi Chadema wameamua kila afe na bakuri lake kama ambavyo wao huwa wanakufa!
Hahaha.......Komba kalewa mnazi!Stop that nonsense of involving Chadema in this rubbish affair
Umekuta mama yako mwalimu akilaumu unaanza kuhusisha walimu wote!! Ni msemaji gani wa walimu unayemfahamu aliyelaumu?Hawa wafanyakazi wanaolalamika kwamba wametapeliwa mishahara yao wengi ni walimu, na wanashaangaa eti kwa nini Chadema haiwasemei. Huku John Mnyika akiwa busy na mambo mengine kama hakujatokea kitu nchini. Nilipo jaribu kufanya ka utafiti kadogo kwa nini Chadema hawashobokei hili jambo.
Haya ndio yalikuwa majibu walimu ndio mabingwa wa kuhujum uchaguzi, uwizi wa kura huwa wanatumika wao wakishirikiana na polisi.
Kwa hiyo kuingilia hili jambo ni kama kuwasaidia Polisi na walimu.
Kwa maneno mafupi Chadema wameamua kila afe na bakuri lake kama ambavyo wao huwa wanakufa!
Hao walimu wakipigwa na kitu kizito ndo wanaikumbuka chadema! mbona kwenye uchaguzi wao na policccm ndo wanaowapitisha ccm bila kupingwaHawa wafanyakazi wanaolalamika kwamba wametapeliwa mishahara yao wengi ni walimu na wanashaangaa eti kwa nini Chadema haiwasemei. Huku John Mnyika akiwa busy na mambo mengine kama hakujatokea kitu nchini. Nilipojaribu kufanya ka utafiti kadogo kwa nini Chadema hawashobokei hili jambo.
Haya ndio yalikuwa majibu, walimu ndio mabingwa wa kuhujumu uchaguzi, uwizi wa kura huwa wanatumika wao wakishirikiana na polisi.
Kwa hiyo kuingilia hili jambo ni kama kuwasaidia Polisi na walimu. Kwa maneno mafupi Chadema wameamua kila afe na bakuli lake kama ambavyo wao huwa wanakufa!
Jambo jema kabisa mkuu wangu.Sisi wengine tukija humu ujue tayari tumeshafanya utafiti huwa hatujiandikii tu mkuu[emoji120][emoji120]
Nilikuambia walimu mna tatizo. Haya na huyu nae mtamtukana?Umekuta mama yako mwalimu akilaumu unaanza kuhusisha walimu wote!! Ni msemaji gani wa walimu unayemfahamu aliyelaumu?
Kuna mtu wa hovyo humu zaidi yako?Siku hizi mods wa JamiiForums wamekuwa wakiruhusu hada mada hovyo kama hii!!? Hawaoni kuwa wanalishushia hadhi jukwaa hili ambalo limejijengea heshima kubwa?
Badilikeni muache kutukanwaMada na chuki dhidi ya walimu zimekuwa nyingi sana siku hizi, inaonekana kuna watu wanapata furaha kwa kutukana walimu.
Maandiko yanasema ' Ole wake yule amtukanaye aliyempa elimu na Sasa yu mjuzi kupitia maarifa aliyoyapata kwayo'. Ana laana maturubai [emoji1787][emoji28]Mada na chuki dhidi ya walimu zimekuwa nyingi sana siku hizi, inaonekana kuna watu wanapata furaha kwa kutukana walimu.
Badilikeni muache kutukanwa
No kuna watu wanawatumia walimu kama daraja la kuelezea matatizo yaoMada na chuki dhidi ya walimu zimekuwa nyingi sana siku hizi, inaonekana kuna watu wanapata furaha kwa kutukana walimu.
... utafiti? Weka ripoti nzima hapa.Sisi wengine tukija humu ujue tayari tumeshafanya utafiti huwa hatujiandikii tu mkuu[emoji120][emoji120]
Walimu wa nchi gani? Walimu wa Tanzania Mei Mosi walijitambulisha wao ni wanaccm.Hawa wafanyakazi wanaolalamika kwamba wametapeliwa mishahara yao wengi ni walimu na wanashaangaa eti kwa nini Chadema haiwasemei. Huku John Mnyika akiwa busy na mambo mengine kama hakujatokea kitu nchini. Nilipojaribu kufanya ka utafiti kadogo kwa nini Chadema hawashobokei hili jambo.
Haya ndio yalikuwa majibu, walimu ndio mabingwa wa kuhujumu uchaguzi, uwizi wa kura huwa wanatumika wao wakishirikiana na polisi.
Kwa hiyo kuingilia hili jambo ni kama kuwasaidia Polisi na walimu. Kwa maneno mafupi Chadema wameamua kila afe na bakuli lake kama ambavyo wao huwa wanakufa!