Walimu kutoka sekondari kwenda shule ya msingi

Walimu kutoka sekondari kwenda shule ya msingi

Kachumbi

Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
70
Reaction score
30
Hili zoezi limeleta uzalilishaji wa walimu,kwenye jamii wameonekana ni watu ambao hawafai kufundisha sekondari,hawajui kiingereza na ni wakorofi.Kibaya zaidi wakuu walitanguliza kuteuwa wale ambao hawako sawa na interest zao,katika upendekezaji wao hawakujali uwezo wa mwalimu ,kuna walimu hawana uwezo kufundisha sekondar wengi wao wamebakia sababu ya kuwa n interest n mkuu wa shule,wengi wao huwa hawaoji, sasa wenzangu na tunaochimba chimba ndo tumetupwa shule ya msingi, Taifa linatengeneza mfumo mbaya,kisaikolojia hao walio shushwa hawapo vizuri,na walio wapokea wana mtazamo mbaya kwao. Baadh sekondar zimebaki na walimu ambao hawana uwezo. Pia umekuwa uhamisho ambao hauna malipo wakati waraka unatolewa ulisema walipwe.Kikikubwa wanashushwa huko bila kupewa semina ya kufundisha hao watoto.Wachin wanatekeleza kauli ya wakubwa.Yawezekana lengo zuri Ila utekelezaji wake si mzuri.
 
Walimu wamekua dhaifu sana kila siku zinavyoendelea hawana mtetezi na mbaya zaidi wenyewe hawawezi hata kujitetea imekua kawaida kusikia mwalimu kachapwa bakora na mratibu elimu kata au diwani.
Leo wanapelekwa primary schools kwa masimango na dharau utadhani iyo taaluma wameikota kumbe wameisomea na serikali inajua hao ndio wanyonge wao hawana sehemu ya kukimbilia ila mnachonikera ni kimbelembele chenu kwenye uchaguzi mnatumika sana tena walimu wanaongoza kuvaa yale manguo ya njano na kijani wanasahau mateso yote
 
Hili zoezi limeleta uzalilishaji wa walimu,kwenye jamii wameonekana ni watu ambao hawafai kufundisha sekondari,hawajui kiingereza na ni wakorofi.Kibaya zaidi wakuu walitanguliza kuteuwa wale ambao hawako sawa na interest zao,katika upendekezaji wao hawakujali uwezo wa mwalimu ,kuna walimu hawana uwezo kufundisha sekondar wengi wao wamebakia sababu ya kuwa n interest n mkuu wa shule,wengi wao huwa hawaoji, sasa wenzangu na tunaochimba chimba ndo tumetupwa shule ya msingi, Taifa linatengeneza mfumo mbaya,kisaikolojia hao walio shushwa hawapo vizuri,na walio wapokea wana mtazamo mbaya kwao. Baadh sekondar zimebaki na walimu ambao hawana uwezo. Pia umekuwa uhamisho ambao hauna malipo wakati waraka unatolewa ulisema walipwe.Kikikubwa wanashushwa huko bila kupewa semina ya kufundisha hao watoto.Wachin wanatekeleza kauli ya wakubwa.Yawezekana lengo zuri Ila utekelezaji wake si mzuri.
Mwalimu ulichokiandika ni sahihi lakini kiswahili ulichotumia kinatoa uhalali wa kuwa pengine unastahili kwenda huko msingi.

Uzalilishaji, kuteuwa, kuoji

Haya si maneno sahihi ya kiswahili kwa mwalimu kuyatumia bora wayatumie wengine lakini si mwalimu

 
Mtaani kuna walimu wengi sana waliosomea kufundisha shule za msingi ila wanaacha kuwapa ajira wanaenda kutoa walimu wa sekondari kuwapeleka msingi.

Hakuna tofauti ni ile awamu waziri mmoja aliyechanganya physics na chemistry kuwa somo moja halafu akafuta commerce, book- keeping, agriculture na masomo mengine.

Elimu inavurugwa sana ila matokeo yatakuja kuoneka baada ya miaka kadhaa mbele kipindi ambacho waliovuruga watakuwa wapo tu pembeni na waathirika ni wananchi masikini maana hakuna mtoto wa waziri anayesoma kwenye hizi shule ambazo elimu inavurugwa hivi.

Inasikitisha sana maamuzi ya hovyo yanachukuliwa na maprofesa na madaktari.

 
Walimu wamekua dhaifu sana kila siku zinavyoendelea hawana mtetezi na mbaya zaidi wenyewe hawawezi hata kujitetea imekua kawaida kusikia mwalimu kachapwa bakora na mratibu elimu kata au diwani.
Leo wanapelekwa primary schools kwa masimango na dharau utadhani iyo taaluma wameikota kumbe wameisomea na serikali inajua hao ndio wanyonge wao hawana sehemu ya kukimbilia ila mnachonikera ni kimbelembele chenu kwenye uchaguzi mnatumika sana tena walimu wanaongoza kuvaa yale manguo ya njano na kijani wanasahau mateso yote
Vi Weston
 
Hili zoezi limeleta uzalilishaji wa walimu,kwenye jamii wameonekana ni watu ambao hawafai kufundisha sekondari,hawajui kiingereza na ni wakorofi.Kibaya zaidi wakuu walitanguliza kuteuwa wale ambao hawako sawa na interest zao,katika upendekezaji wao hawakujali uwezo wa mwalimu ,kuna walimu hawana uwezo kufundisha sekondar wengi wao wamebakia sababu ya kuwa n interest n mkuu wa shule,wengi wao huwa hawaoji, sasa wenzangu na tunaochimba chimba ndo tumetupwa shule ya msingi, Taifa linatengeneza mfumo mbaya,kisaikolojia hao walio shushwa hawapo vizuri,na walio wapokea wana mtazamo mbaya kwao. Baadh sekondar zimebaki na walimu ambao hawana uwezo. Pia umekuwa uhamisho ambao hauna malipo wakati waraka unatolewa ulisema walipwe.Kikikubwa wanashushwa huko bila kupewa semina ya kufundisha hao watoto.Wachin wanatekeleza kauli ya wakubwa.Yawezekana lengo zuri Ila utekelezaji wake si mzuri.
Ni kweli mkuu,nia ni njema,ila utekelezaji wake ni mbovu sana.TAMISEMI walipaswa ku-take centre stage kwenye issue nzima hii,sio waalimu wakuu.
 
1.Rais ni mwongo maana aliongea tarehe 14/10/2017 kuwa kuna Watumishi wa Umma 59,000+ watapandishwa madaraja mwezi Novemba lakini hadi sasa hajapanda hata mmoja.

2.Rais alisema baada ya uhakiki kumalizika kutakuwa na maslahi bora kwa Watumishi wa Umma lakini hadi sasa wamepewa za uso.

Waandishi wa habari hizi hazifai kupamba kwenye front page maana sijawahi kuziona.

Kutoka hifadhi ya misitu ya Madihani
Mwanachama wa CCM.
 
[QUOTE="Kachumbi, post: 25988030, memb
Mwanza wanarudishwa Tena sekondari kuendelea kupiga vipindi
 
Walimu msilalamike sana kwani kuna makosa mengi mno serikali inayafanya kana kwamba inajitega yenyewe na au watekelezaji wanamkwamisha mtoa wazo la uhamisho! Usome mkataba wako wa ajira na nina uhakika uliajiriwa kufundisha shule za sekondari na sio msingi! Mkiusimamia mkataba huo serikali itaufyata mapema tu!
Pia agizo la rais juu ya uhamisho kuwa ukipata barua ya uhamisho iambatane na cheque yako na kimojawapo kikikosekana baki kituoni kwako kwa zamani! Simple tu, kama akikufukuza kazi nenda mahakamani kadai haki zako zilizokiukwa!
 
Mwalimu ulichokiandika ni sahihi lakini kiswahili ulichotumia kinatoa uhalali wa kuwa pengine unastahili kwenda huko msingi.

Uzalilishaji, kuteuwa, kuoji

Haya si maneno sahihi ya kiswahili kwa mwalimu kuyatumia bora wayatumie wengine lakini si mwalimu

Kukosa bila kuonyesha usahihi wa maneno ni sawa na mjinga anayesema najua kumbe hajui, kuna watu ambao wapo kwa ajili ya kuona hoja ya msingi,na kuna ambao wapo kwa ajili ya kuona mapungufu,jione uko kundi lipi.Kwa kukusaidia ni kwamba baadhi ya lugha tumejifunzia ukubwani,usfkiri tunakosea kiingereza tu hata kiswahili,hayo mapungufu yanatokana na hilo.
 
Waalimu wanahitaji care kubwa sana ukiwaonyesha dharau au kutowajari na wao wanalipiza kwa wanafunzi
 
Walimu wooote mliokosa ajira mliotolewa secondary mkarudishwa msingi mliolazimishwa kulipimichangokama mchango wa mbio za mwenge mliotakiwa kupandishwa madaraja alaf hamjapandishwa hata wale mliolimbikiziwa madeni na woote ambao mishahara yao haijapanda....26/4 this year ni Siku ya mapinduzi siku ya maandamano ya amani nchi nzima kama mkiogopa kutoka ndo mtazidi kuonewa zaidi ya hapo ni heri mtoke kuliko kujifungia ndani maana iko mnachofanywa ni trailer tuu
 
1.Rais ni mwongo maana aliongea tarehe 14/10/2017 kuwa kuna Watumishi wa Umma 59,000+ watapandishwa madaraja mwezi Novemba lakini hadi sasa hajapanda hata mmoja.

2.Rais alisema baada ya uhakiki kumalizika kutakuwa na maslahi bora kwa Watumishi wa Umma lakini hadi sasa wamepewa za uso.

Waandishi wa habari hizi hazifai kupamba kwenye front page maana sijawahi kuziona.

Kutoka hifadhi ya misitu ya Madihani
Mwanachama wa CCM.
Walimu wooote mliokosa ajira mliotolewa secondary mkarudishwa msingi mliolazimishwa kulipimichangokama mchango wa mbio za mwenge mliotakiwa kupandishwa madaraja alaf hamjapandishwa hata wale mliolimbikiziwa madeni na woote ambao mishahara yao haijapanda....26/4 this year ni Siku ya mapinduzi siku ya maandamano ya amani nchi nzima kama mkiogopa kutoka ndo mtazidi kuonewa zaidi ya hapo ni heri mtoke kuliko kujifungia ndani maana iko mnachofanywa ni trailer tuu
 
mkuu nenda primary sidhani kama kutakuwa mkuu mpumbavu awatoe walimu wazuri kiufundishaji waende primary abaki na mbulula huyo mkuu atakuwa tahira
 
Back
Top Bottom