Wali spinachi, karoti na mboga mchanganyiko

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,906
attachment.php
Mahitaji



  • Mchele nusu kilo
  • Karot 1 kubwa (ipare vizuri)
  • Nyanya 3 kubwa
  • Vitunguu maji viwili (ukubwa kiasi)
  • Bizari ya pilau, curry powder, binzari ya njano na mdalasini 1/2 teaspoon kila kimoja
  • Mafuta kiasi
  • Mchanganyiko wa mboga, mfano njegere na mahindi machanga (ila hii sio lazima)
  • Chumvi kiasi
  • Mboga ya spinachi (fungu 1)
  • Saumu na tangawizi ya kusaga (1 teaspoon)


Namna ya kutayarisha

Loweka mchele kwa dakika 20.

Weka mafuta katika sufuria, kaanga kitunguu maji hadi karibia kuwa brown

Weka spices zote

Weka tangawizi na saumu

Tia karoti yako uliopara pamoja na vegetable nyengine

Mimina nyanya pamoja na mboga ya spinachi

Koroga hadi wiiwe kiasi

Mimina mchele, weka chumvi na maji ya moto kidogo

Funika punguza moto ili chakula kisiungue

Subiria hadi kuwiva

Andaa tayari kwa kuliwa
attachment.php
 
Mahitaji


Mchele nusu kilo

Karot 1 kubwa ipare vizuri

Nyanya 3 kubwa.....

Vitunguu maji 2 ukubwa kiasi....

Bizari ya pilau,curry powder,bizari ya njano na mdalasini 1/2 teaspoon kila kimoja.....

Mafuta kiasi....

Mchanganyiko wa mboga (mfano njegere na mahindi machanga) ila hii sio lazma....


Chumvi kiasi.....


Mboga ya spinach.....bunch 1

Saumu na tangawizi ya kusaga 1 teaspoon


Namna ya kutaarisha....

Roweka mchele kwa dakika 20.


Weka mafuta katika sufuria....kaanga kitunguu maji hadi karibia kua brown


Weka spices zote


Weka tangawizi na saumu...

Tia carrot yako uliopara pamoja na vegetable nyengine....


Mimina nyanya pamoja na mboga ya spinach.....

Koroga hadi wiviwe kiasi....

Mimina mchele,weka chumvi na maji ya moto kdg...

Funika punguza moto ili chakula kisiungue.....

Subiria hadi kuwiva


Andaa tayar kwa kuliwa

Ukipenda waweza weka mustard na fenugreek kidogo sana kwa ladha nzuri zaidi
 

Attachments

  • 1410397435133.jpg
    1410397435133.jpg
    78.2 KB · Views: 1,646
  • 1410397515621.jpg
    1410397515621.jpg
    100.5 KB · Views: 1,612
Mahitaji


Mchele nusu kilo

Karot 1 kubwa ipare vizuri

Nyanya 3 kubwa.....

Vitunguu maji 2 ukubwa kiasi....

Bizari ya pilau,curry powder,bizari ya njano na mdalasini 1/2 teaspoon kila kimoja.....

Mafuta kiasi....

Mchanganyiko wa mboga (mfano njegere na mahindi machanga) ila hii sio lazma....


Chumvi kiasi.....


Mboga ya spinach.....bunch 1

Saumu na tangawizi ya kusaga 1 teaspoon


Namna ya kutaarisha....

Roweka mchele kwa dakika 20.


Weka mafuta katika sufuria....kaanga kitunguu maji hadi karibia kua brown


Weka spices zote


Weka tangawizi na saumu...

Tia carrot yako uliopara pamoja na vegetable nyengine....


Mimina nyanya pamoja na mboga ya spinach.....

Koroga hadi wiviwe kiasi....

Mimina mchele,weka chumvi na maji ya moto kdg...

Funika punguza moto ili chakula kisiungue.....

Subiria hadi kuwiva


Andaa tayar kwa kuliwa

asante mama,ila siwezi kuharisha?naona kama msosi wa kigabachori huo?
 
Bibie una restaurant mahali nije kutembea na kuonja mapishi yako?


Mahitaji


Mchele nusu kilo

Karot 1 kubwa ipare vizuri

Nyanya 3 kubwa.....

Vitunguu maji 2 ukubwa kiasi....

Bizari ya pilau,curry powder,bizari ya njano na mdalasini 1/2 teaspoon kila kimoja.....

Mafuta kiasi....

Mchanganyiko wa mboga (mfano njegere na mahindi machanga) ila hii sio lazma....


Chumvi kiasi.....


Mboga ya spinach.....bunch 1

Saumu na tangawizi ya kusaga 1 teaspoon


Namna ya kutaarisha....

Roweka mchele kwa dakika 20.


Weka mafuta katika sufuria....kaanga kitunguu maji hadi karibia kua brown


Weka spices zote


Weka tangawizi na saumu...

Tia carrot yako uliopara pamoja na vegetable nyengine....


Mimina nyanya pamoja na mboga ya spinach.....

Koroga hadi wiviwe kiasi....

Mimina mchele,weka chumvi na maji ya moto kdg...

Funika punguza moto ili chakula kisiungue.....

Subiria hadi kuwiva


Andaa tayar kwa kuliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom