Can i take you for dinner?
Aisee, wanawake mna mambo nyie!!!! Haya bana!!!
Naona kamanda umetumia ile rule ya kujaribu bahati yako,
BTW....usipoomba utapewaje?
Kwa huruma ya kimama aliyonayo mlengwa, naamini atakupa nafasi...
Babu DC!!
Mkuu za masiku?halafu leo ndo siku wanawake duniani so lara 1 kazi kwakousiwaangushe wenzio
Naona kamanda umetumia ile rule ya kujaribu bahati yako,
BTW....usipoomba utapewaje?
Kwa huruma ya kimama aliyonayo mlengwa, naamini atakupa nafasi...
Babu DC!!
Salama kabisa mkuu,Tumekumiss sana huku nyumbani ....hata repoti nikiandika hutaweza kumaliza kuisoma....Ulipotelea/zewa wapi kaka??Namwaminia bi dada....ni komando wa nguvu....Hawezi kujiangusha na wala kuangusha ukoo mzima wa SHE group!!Andaa wallet iliyotulia ...Source PretaBabu DC!!
Babu mpambe sana weweeeeeeeee! Sijui ujana wako ulikuwaje? The Boss you cant take me to dinner, im closing (fasting! R.I.P Kanumba) bwana mambo ya Kwaresma! Na ikiisha tu im a changed person from my wild ways! Otherwise back in time i would have loved to go to dinner with you! I lways liked my meals HOT AND IN STYLE!
Jamani Olesaidimu umenikumbusha Lerionka Ole Sururu! Hahahaaaaaa!
Babu mpambe sana weweeeeeeeee! Sijui ujana wako ulikuwaje? The Boss you cant take me to dinner, im closing (fasting! R.I.P Kanumba) bwana mambo ya Kwaresma! Na ikiisha tu im a changed person from my wild ways! Otherwise back in time i would have loved to go to dinner with you! I lways liked my meals HOT AND IN STYLE!
******************KUBWA LA MAADUI!!!! (GET RICH OR DIE TRYING!!!!)******************
Your meals Hot and in style..
ha haa naona nimekuelewa zaidi
the offer still stand...huwezi jua...lol..
Nicas, Can i call you sometime??