Walevi wanajifariji sana

wewe iyo chai imekupeleka wapi
 
Usitufokee kama wewe hunywi ni uzembe wako
 

Attachments

  • IMG-20191213-WA0012.jpg
    82.9 KB · Views: 10
Mkeo kama kuliwa ataliwa tu unywe usinywe
Pombe, wengine pombe imetupa mafanikio mzee

Ova
 
Wafuatiliaji Sana wa maisha ya watu..wivu..unafiki...gubu....nk nk
Na kutwa kucha kuwasema wanywaji.. utawasikia... ANGEKUWA MBALI SANA YULE, TATIZO POMBE..!! Uliza sasa alivyonavyo yeye..!! Utashangaa... ukimwambia akuonyeshe alivyosevu kwa kitokunywa pombe, HANA KITU.... na wanywaji wengine wamewaacha mbali wanywa juisi kimaendeleo
 
Kwahyo msiouknywa hamkaziwi hao wake zenu au?..mwe...
Hakuna watu wanafki kama wasiyo kunywa pombe
Eti mwingine hanywi pombe lkn anajifanya anakuonea huruma pesa zako ohhh unatumia pesa vibaya Kwan ananisaidia kutafuta au anajua Channel zngu..... Alafu hyo asiye tumia pombe kutwa kwenda mjini na mabahasha na madocument
Oh kna dili nalifatiliaaaa dili Miaka nenda rudi halitusui[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
MAMBO YA KUPANGIANA MATUMIZI SIPENDI KABISA
wangari nko mtaa wa akiba bank Kino kna duka la mangi mmja tupo kama kawaida yetu kwenye ibada hapa karibuuu

Ova
 
Tofauti ni mtu mzima hawezi kufanya mambo anayofanya mtoto...
Moja ya mambo asiyotakiwa kufanya mtoto ni pamoja na kunywa pombe na kufanya ngono.
Haya ni mambo ya mtu mzima tu sasa nashangaa mnaogopa kunywa pombe wazee shida nini? Kunyweni pombe kikubwa msizidishe mpaka mkafanya mambo ya ajabu kwenye jamii
 
Kweli kabsa pombe siyo kitu kizuri hata kidogo. Kuna siku nilisoma Uzi humu et imefama member wa humu kafa acheni pombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…