Walemavu kuny'any'aswa kwenye ajira......

Walemavu kuny'any'aswa kwenye ajira......

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
nna mpenzi wangu kila interview akifanya anakataliwa na kutolewa maneno ya zarau na kejeli kwa sababu ya ulemavu wake wa KIGUGUMIZI...ni kweli kua mlemavu wa kigugumizi hawezi kufanya kazi?..,...KAHUDHURIA INTERVIEW ZIFUATAZO.....1..EROLINK, alifanya writen int. na computer uses akapita ila kwenye ORAL, HR mama 1 mtu mzima alimwambia una uwezo ila JINSI UNAVYOONGEA HUTAWEZA KUFANYA KAZI NA SISI...2..SEA CLIFF hotel napo kuna mzungu alimwonyesha zarau kutokana na jinsi anavyoongea..,3..ENRICH AFRICA baada ya interview HR ambaye ni dada 1 maji ya kumd hvi mnene alimwambia CV YAKO INAONYESHA UNA UWEZO ILA UNA KIGUGUMIZI...3..Alishafanya pia access bank, kebys hotel pia napo alifanyiwa the same.....ENYI MA HR WENYE TABIA HIZI tambua kua mara nyingi MUNGU anawainua wanyonge juu assume umefukuzwa kazi unaenda sehemu fulani kuomba kazi unakuta yeye ndio manager utajisikiaje?
 
Hivi kigugumizi ni ulemavu!...hebu nipanguseni macho harafu twende sawa sasa.
 
Alikua ana apply kazi ya aina gani? Kama ni kazi zinazo hitaji mtu kuongea mbele za watu mara ka mara (public speaking) kweli kigugumizi kinaweza kikawa kikwazo. Kwa hiyo tueleze vizuri ni kazi zipi haswa alizo kuwa ana apply?
 
Alikua ana apply kazi ya aina gani? Kama ni kazi zinazo hitaji mtu kuongea mbele za watu mara ka mara (public speaking) kweli kigugumizi kinaweza kikawa kikwazo. Kwa hiyo tueleze vizuri ni kazi zipi haswa alizo kuwa ana apply?

ashafanya kazi ya sensa ambayo unaongea sana mbele za watu, na pia mbona walivyokua chuo alikua anaeleweka kwenye PRESENTATION sidhani kama mtu ana kigugumizi anaweza kuongea usimwelewe.....
 
ashafanya kazi ya sensa ambayo unaongea sana mbele za watu, na pia mbona walivyokua chuo alikua anaeleweka kwenye PRESENTATION sidhani kama mtu ana kigugumizi anaweza kuongea usimwelewe.....

Sawa. Kaapply kazi zipi. Bado ina baki pale pale kwamba kuna baadhi ya kazi kuwa na kigugumizi inaweza kuwa disadvantage. Mfano nu ualimu. Mtu mwenye kigugumizi anaweza ongea lakini ata chukua muda mrefu zaidi kuongea kitu fulani. Au mfano kazi ya customer care, mteja ana piga simu customer care halafu mtu ana kigugumizi inaweza impe shida mteja. Ndio maana nime kuuliza kaapply kazi zipi specifically. Ila inaelekea hutaki kutaja hizo kazi alizo apply which is o.k. Ushauri wangu tu muambie mpenzi wako aangalie aina za kazi anazo apply.
 
Sawa. Kaapply kazi zipi. Bado ina baki pale pale kwamba kuna baadhi ya kazi kuwa na kigugumizi inaweza kuwa disadvantage. Mfano nu ualimu. Mtu mwenye kigugumizi anaweza ongea lakini ata chukua muda mrefu zaidi kuongea kitu fulani. Au mfano kazi ya customer care, mteja ana piga simu customer care halafu mtu ana kigugumizi inaweza impe shida mteja. Ndio maana nime kuuliza kaapply kazi zipi specifically. Ila inaelekea hutaki kutaja hizo kazi alizo apply which is o.k. Ushauri wangu tu muambie mpenzi wako aangalie aina za kazi anazo apply.

kwani customer care inahusisha kupokea cm tu?
 
Tukubali tukatae kuna vigugumizi vingine hua ni vikali sana!
Mwingine unakuta mpaka apige sehemu ndo alipate neno,hivyo ni kweli kabisa kwa kazi zinazohusiana na kuongea mara kwa mara inakua ngumu!
 
Tukubali tukatae kuna vigugumizi vingine hua ni vikali sana!
Mwingine unakuta mpaka apige sehemu ndo alipate neno,hivyo ni kweli kabisa kwa kazi zinazohusiana na kuongea mara kwa mara inakua ngumu!

yeye ana kigugumizi cha kawaida tena kama hutamwangalia vizuri ukiongea naye huwezi kumgundua
 
Tukubali tukatae kuna vigugumizi vingine hua ni vikali sana!
Mwingine unakuta mpaka apige sehemu ndo alipate neno,hivyo ni kweli kabisa kwa kazi zinazohusiana na kuongea mara kwa mara inakua ngumu!

kama upo upande wa hao ma hr ok
 
Back
Top Bottom