Wale wote wanaotaka kusoma engineering, Uliza swali lolote utapata majibu!

Nadhani hii kozi inatolea dit, ila soko la telecom kidogo lina shida sio kama miaka ya 2000!! nadhan Deadbody aje atupe mwanga kuhusu soko la telecom hapa tz!!
Ukiondoa makampuni ya simu na mawasiliano kwa ujumla ,mtu wa Telecom ni mwana-IT wa kwanza duniani.Tele ndio mwana-TI kamili hiyo sehemu yoyote IT inapohusika ujue mwana-Telcom anaweza fit vizuri.Mtu wa tele ni programmer mzuri sana kuliko unavyodhania.

Kwa kifupi mtu wa telecom ndio anajukumu lote la kuifanya dunia kuwa kijiji.Utandawazi unaletwa na mtu wa telecom hivyo pasipo telecom hakuna dunia ya kisasa.

Popote inapohusika Computer anahusika mtu wa telecom pia hivyo tunasema Telecom ndio mama wa IT duniani.Hata nyie wanaJF mnaweza kutype comment zetu humu nasisi tunasoma mmeshiriki katika kuiendeleza Telecom

Asante!
 
Asante maana kuna watu waliambia bora n ikazane na electronic eti telecom haina soko
Tulicho krem ni kwamba mtu wa tele anafanya kazi voda, airtel na tigo... Ila kiuhalisia kwenye tele kuna mambo mengi wanasoma... Na ukiwa mjanja you can do alot!!

Soma post ya deadbody hapo juu...
 
Ukiondoa makampuni ya simu na mawasiliano kwa ujumla ,mtu wa Telecom ni mwana-IT wa kwanza duniani.Tele ndio mwana-TI kamili hiyo sehemu yoyote IT inapohusika ujue mwana-Telcom anaweza fit vizuri.Mtu wa tele ni programmer mzuri sana kuliko unavyodhania.

Kwa kifupi mtu wa telecom ndio anajukumu lote la kuifanya dunia kuwa kijiji.Utandawazi unaletwa na mtu wa telecom hivyo pasipo telecom hakuna dunia ya kisasa.

Popote inapohusika Computer anahusika mtu wa telecom pia hivyo tunasema Telecom ndio mama wa IT duniani.Hata nyie wanaJF mnaweza kutype comment zetu humu nasisi tunasoma mmeshiriki katika kuiendeleza Telecom

Asante!
Umeipa Telecom sifa ambazo sio za kwake
Kwa nini probability ya mtu wa IT kuchukuliwa ata kwenye field katika makampuni ya Telecom ni kubwa kuliko mtu wa Telecom?
 
Ukiondoa makampuni ya simu na mawasiliano kwa ujumla ,mtu wa Telecom ni mwana-IT wa kwanza duniani.Tele ndio mwana-TI kamili hiyo sehemu yoyote IT inapohusika ujue mwana-Telcom anaweza fit vizuri.Mtu wa tele ni programmer mzuri sana kuliko unavyodhania.

Kwa kifupi mtu wa telecom ndio anajukumu lote la kuifanya dunia kuwa kijiji.Utandawazi unaletwa na mtu wa telecom hivyo pasipo telecom hakuna dunia ya kisasa.

Popote inapohusika Computer anahusika mtu wa telecom pia hivyo tunasema Telecom ndio mama wa IT duniani.Hata nyie wanaJF mnaweza kutype comment zetu humu nasisi tunasoma mmeshiriki katika kuiendeleza Telecom

Asante!
Hahahaha,mweye kufanya dunia iwe kijiji ni computer engineers
 
Habari wana JF?

Kwa vijana wanaotaka kusoma kozi za uhandisi na hawajui wapi pa kuanzia tafadhali usisite kuuliza swali hapa ili uweze kujuishwa unachotaka kujua!!

Nitatoa maelezo kuhusu kozi mbali mbali za uhandisi na changamoto zake hasa ukiwa chuoni!

Pia unaweza kupitia hapa ili kuona baadhi ya mada zilizoanzishwa kuhusu kozi za uhandisi kwa hapa kwetu tanzania...

Ufafanuzi wa kozi za engineering kwa wanaotarajia kujiunga na Engineering (wanao apply chuo)

Nakaribisha maswali...






Nina mdogo wangu kasoma EGM kapata DDE yaan math, economics n.a. Geography respectively. Anaweza kusoma kozi Zipi za engineering
 
Mkuu nina mdogo wangu amesoma chuo cha reli Certificate ya Locomotive Engineering in Diesel Mechanical amesoma miaka 2 (NTA 4&5) pale sasa inawezekana akapata chuo gani kuendelea ili apate Ordinary diploma? Au utaratibu uko vipi kuhusu hilo ?
 
Kwa nini ma- Engineer wengi mnakufa maskini licha ya kusoma vitu kuntu?? Wengi wenu mnaishia kuendeshwa na wafanya biashara kwa ujira wa thumuni na kukuza vichwa mkivaa helmet na mi- overoli yenu michafu.

Ushauri wa bure:

Ukitaka kuwa na pesa achana na mambo ya engineering, labda kama unatafuta misifa isiyo na tija.! Wekeza kwenye ujanja wa elimu ya kusaka mapene acha kupoteza muda.
nani kafa maskini......unazani ma engineer nishombo kama vikozi vyenu mnavo somaa,,,afu ukipita site ukakuta watu wamevaaaa helmets sio wote maengineer.....you know nothing about engineers please dont simulate ideas
 
Japo sio kozi ya uhandisi ila kwa nnachojua ni kozi inayohusu maswala ya survey!!

Kwa mfano kabla hujajenga nyumba au barabara au any engineering struncture survey lazima ifanyike, na hii ndio kazi ya wataalam wa geomatic!!

Hii kozi, diploma inatolewa chuo cha ardhi nadhan katika matawi yao hasa morogoro!!
Majibu ya kusema nadhani tena.
 
Electrical Engeneering vipi kuhusu hi kozi, kuhusu ajira na mzunguko wake kutoka kimaisha?
 
Jamani pale bandari nimeona kuna kozi ya maintenance eng wanatoa,na mie kwenye hesabu nipo ovyo sana inakuwaje hapo kwenye iyo kozi hesabu zake zinakuwaje
 
Jamani pale bandari nimeona kuna kozi ya maintenance eng wanatoa,na mie kwenye hesabu nipo ovyo sana inakuwaje hapo kwenye iyo kozi hesabu zake zinakuwaje
Ukishaona neno engineering jua kuna hesabu kali na physics ndani.
 
Write your reply...mkuu hivi kama nataka kusomea civil engineering chuo na nimepata physics d na chemistry c form four unanishauri nifanyaje, je niende a level au niende chuo moja kwa moja
 
Back
Top Bottom