Wale wote wanaotaka kusoma engineering, Uliza swali lolote utapata majibu!

Nakumbuka miaka yetu environmental engineering ilikua inatolewa na ardhi peke yao, nasikia miaka ya karibuni na udom nao wanatoa!!

Okey iko hivi...

Environmental engineering ni kama inaendana kwa kiasi fulani na civil/water resources engineering ila wao kazi yao kubwa ni kuhakikisha mazingira yanabaki salama baada ya shughuli za mwanadam, mfano kuhakikisha kuna sewerage systems zinazofanya kazi vizuri, kuset/kudesign waste water treatment plants hii ni mifano tu ila nao pia wanasoma engineering drawings, engineering design na mambo kama hayo!!

Kwenye hii kozi utakutana na physics, kemia kwa sana, hesabu za kutosha na bios kishkaji!! Infact ni kozi nzuri sana!!

Tukija kwa industrial engineering (duuh nimekumbuka tanzania ya viwanda hahaha)...anyways, hii ni kama subset ya mechanical engineering wao wanako zaidi kwenye viwanda. Wana kazi kubwa kuhakikisha kiwanda kinaoperate at it maximum na kuhakikisha safety mda wote ndani ya kiwanda.

Japo inaweza kuwa nzuri ila kwa ushauri wangu its better ukasoma mechanical au electrical engineering kuliko hii ya industrial!!
Acha kudanganya

Municipal and Industrial Services Engineering ni mtoto wa Environmental Engineering

Hamna utofauti mkubwa.


Hawa wanatofautiana kwa kiasi kidogo sana.
 
Acha kudanganya

Municipal and Industrial Services Engineering ni mtoto wa Environmental Engineering

Hamna utofauti mkubwa.


Hawa wanatofautiana kwa kiasi kidogo sana.
Nimependa ID yako ila sijafurahishwa na comment yako hasa mstari kwanza, that is not how engineers suppose to put forth their views! Otherwise wise ushauri wako ni mzuri!!

Karibu!
 
Metallurgy and mineral process engineering ni kozi inayodili na uchenjuaji wa mekanikia(concetrate) ili kupata madini yenye soko mf (gold. Copper. Cardium .nikel etc)
Katika mgodi kunahitajika watu wa taalamu tatu hadi nne (geologistmining engineer, mineral process engineer/metallurgist) na wengine ni environmental engineer.

GEOLOGIST kazi yake ni kufanya utafiti sehamu gani kuna madini na ni ya aina gani na ipo kwa kiwango gani kwenye mwqmba husiks.

MINING ENGINEER yeye anapokea ripoti kutoka kwa geologist kuhusu uwepo wa madini husika katka eneo hilo. Yeye anatumia ujuzi wake kuchimba mwamba huo. Na mara nyingi huwa mawe au michanga then anampelekea metallurgist.

METALLURGIST yeye anachukuwa huo mchanga na kutenganisha mchanga na madini. Madini yakipatikana yanakuwa tayari kwa kuuzwa
Kwa nyongeza: kuna surveyer anaye mwelekeza mining engineer na geologist njia za kupita na kuna chemical and processing engineer anaye wasiliana na metallugist nini cha kufanya.

Huyo environmental engineer anahusika na mazingira. Yaani wapi pa kutupa uchafu nk.

Kuna pia mhandisi wa maji na wa umeme. Pia wa mawasiliano. Mgodini ni kama jeshini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa ID yako ila sijafurahishwa na comment yako hasa mstari kwanza, this is not how engineers suppose to put forth their views! Otherwise wise ushauri wako ni mzuri!!

Karibu!
Mfano kwa mwaka wa kwanza anachosoma EE ndicho atakachosoma Mise kwa semester ya kwanza.

Semester ya pili watatofautiana kidogo Kozi mbili ,EE atasoma Soil na Introduction of environmental engineering lakini Mise atasoma mambo ya Mining and Mineral Processing pamoja na mambo ya industrial operations.


Kwa mwaka wa pili semester zote mbili watasoma kozi zote sawa mambo ya hydrology,Land Surveying ,Fluid Mechanics na takataka nyingine zote

Kwa mwaka wa tatu na wa nne ndo wanaanza kutofautiana rasmi


Ila mara nyingi kazi anazozifanya EE hata mtu wa Mise anafanya pia kazi anazozifanya mtu wa Mise mtu wa EE pia anaweza kuzifanya.
 
Kwa nini ma- Engineer wengi mnakufa maskini licha ya kusoma vitu kuntu?? Wengi wenu mnaishia kuendeshwa na wafanya biashara kwa ujira wa thumuni na kukuza vichwa mkivaa helmet na mi- overoli yenu michafu.

Ushauri wa bure:

Ukitaka kuwa na pesa achana na mambo ya engineering, labda kama unatafuta misifa isiyo na tija.! Wekeza kwenye ujanja wa elimu ya kusaka mapene acha kupoteza muda.
 
Kwa nini ma- Engineer wengi mnakufa maskini licha ya kusoma vitu kuntu?? Wengi wenu mnaishia kuendeshwa na wafanya biashara kwa ujira wa thumuni na kukuza vichwa mkivaa helmet na mi- overoli yenu michafu.

Ushauri wa bure:

Ukitaka kuwa na pesa achana na mambo ya engineering, labda kama unatafuta misifa isiyo na tija.! Wekeza kwenye ujanja wa elimu ya kusaka mapene acha kupoteza muda.
Sio kweli.

Ukiona Engineer maskini huyo sio competent

Ni kawaida sana kwangu kupata milion 50 ,100 kwa project moja.
 
Habari wana JF?

Kwa vijana wanaotaka kusoma kozi za uhandisi na hawajui wapi pa kuanzia tafadhali usisite kuuliza swali hapa ili uweze kujuishwa unachotaka kujua!!

Nitatoa maelezo kuhusu kozi mbali mbali za uhandisi na changamoto zake hasa ukiwa chuoni!

Pia unaweza kupitia hapa ili kuona baadhi ya mada zilizoanzishwa kuhusu kozi za uhandisi kwa hapa kwetu tanzania...

Ufafanuzi wa kozi za engineering kwa wanaotarajia kujiunga na Engineering (wanao apply chuo)

Nakaribisha maswali...
Nimemaliza form six PCM mwaka 2017 na nimepata D masomo yote. Ninapenda kosoma kozi yoyote ya uhandisi au masuala ya architecture hapo UDSM au Ardhi University. Je kwa ufaulu huu unanishauri niapply kozi gani kulingana na ushindani uliopo na soko la ajira mara baada ya kumaliza kozi? Natanguliza shukrani zangu kwako
 
habari za siku mkuu,naomba kujuzwa inawezekana mtu kusoma bachelor ya computer engineering kwa cheti cha diploma ya IT.
 
Back
Top Bottom