Wale wenye sera ya Majimbo waangalie Ethiopia

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,418
7,200
Kuna chama nchini kimekua kikitumiwa kugawa Watanzania kijiografia na kitabaka. Nasema kinatumiwa kwa sababu umoja wa watanzania umekua kikwazo kikubwa kwa wale wenye nia ya kuligawa taifa kwa mizozo ili wamiliki kirasi uchumi wake.

Nchi kama Ethiopia imehangaika miaka mingi kujenga uzalendo wa kitaifa ila wapinga maendeleo wamekua kikwazo kwa kushikilia ukabila na umajimbo.

Kutokana na kuzidiwa na waunga ukabila na umajimbo wakasalimu amri na kuruhu serikali za majimbo imara kwa msingi wa ukabila. Hivi leo uzalendo wa kikabila unahatarisha kusambaratika taifa hilo. Katika mfumo wao kila jimbo lina bunge lake Rais wake na majeshi yake jambo limeonekana sasa kutishia umoja wa taifa hilo.

Hapa nchini Chadema wamekua wanapigia chapuo sera za ujimbo kama ule unapatika kule ethiopia. Eti umajimbo ndio utaletea taifa maendeleo. Kwamba kila jimbo na mali asili zake wapambane kuendeleza watu wao.

Kwa nchi changa inayotafuta maendeleo umoja ndio nguzo ya amani. Bila shaka tumeona nini kinatokea ethiopia. Jimbo la tigray limeasi linapigana vita na jeshi la taifa. Majimbo mengine kila ya leo yanatishia serikali kuu.

Na kila siku kila kabila linadai lipewe kua jimbo. Ni vurugu tupu kwa nchi ambayo katika miaka ya karibuni wamefanya vizuri sana kuipatia nchi yao maendeleo sasa adui zake wanaibomoa kirasihi kwa kukosa umoja.
 
Kuna chama nchini kimekua kikitumiwa kugawa Watanzania kijiografia na kitabaka. Nasema kinatumiwa kwa sababu umoja wa watanzania umekua kikwazo kikubwa kwa wale wenye nia ya kuligawa taifa kwa mizozo ili wamiliki kirasi uchumi wake.

Nchi kama Ethiopia imehangaika miaka mingi kujenga uzalendo wa kitaifa ila wapinga maendeleo wamekua kikwazo kwa kushikilia ukabila na umajimbo.

Kutokana na kuzidiwa na waunga ukabila na umajimbo wakasalimu amri na kuruhu serikali za majimbo imara kwa msingi wa ukabila. Hivi leo uzalendo wa kikabila unahatarisha kusambaratika taifa hilo. Katika mfumo wao kila jimbo lina bunge lake Rais wake na majeshi yake jambo limeonekana sasa kutishia umoja wa taifa hilo.

Hapa nchini Chadema wamekua wanapigia chapuo sera za ujimbo kama ule unapatika kule ethiopia. Eti umajimbo ndio utaletea taifa maendeleo. Kwamba kila jimbo na mali asili zake wapambane kuendeleza watu wao.

Kwa nchi changa inayotafuta maendeleo umoja ndio nguzo ya amani. Bila shaka tumeona nini kinatokea ethiopia. Jimbo la tigray limeasi linapigana vita na jeshi la taifa. Majimbo mengine kila ya leo yanatishia serikali kuu.

Na kila siku kila kabila linadai lipewe kua jimbo. Ni vurugu tupu kwa nchi ambayo katika miaka ya karibuni wamefanya vizuri sana kuipatia nchi yao maendeleo sasa adui zake wanaibomoa kirasihi kwa kukosa umoja.
Mbona hapa kuna Jimbo la bara na Jimbo la zenji na mambo Yako shwari
 
Kuna chama nchini kimekua kikitumiwa kugawa Watanzania kijiografia na kitabaka. Nasema kinatumiwa kwa sababu umoja wa watanzania umekua kikwazo kikubwa kwa wale wenye nia ya kuligawa taifa kwa mizozo ili wamiliki kirasi uchumi wake.

Nchi kama Ethiopia imehangaika miaka mingi kujenga uzalendo wa kitaifa ila wapinga maendeleo wamekua kikwazo kwa kushikilia ukabila na umajimbo.

Kutokana na kuzidiwa na waunga ukabila na umajimbo wakasalimu amri na kuruhu serikali za majimbo imara kwa msingi wa ukabila. Hivi leo uzalendo wa kikabila unahatarisha kusambaratika taifa hilo. Katika mfumo wao kila jimbo lina bunge lake Rais wake na majeshi yake jambo limeonekana sasa kutishia umoja wa taifa hilo.

Hapa nchini Chadema wamekua wanapigia chapuo sera za ujimbo kama ule unapatika kule ethiopia. Eti umajimbo ndio utaletea taifa maendeleo. Kwamba kila jimbo na mali asili zake wapambane kuendeleza watu wao.

Kwa nchi changa inayotafuta maendeleo umoja ndio nguzo ya amani. Bila shaka tumeona nini kinatokea ethiopia. Jimbo la tigray limeasi linapigana vita na jeshi la taifa. Majimbo mengine kila ya leo yanatishia serikali kuu.

Na kila siku kila kabila linadai lipewe kua jimbo. Ni vurugu tupu kwa nchi ambayo katika miaka ya karibuni wamefanya vizuri sana kuipatia nchi yao maendeleo sasa adui zake wanaibomoa kirasihi kwa kukosa umoja.


Majimbo ya Ethiopia yalitengenezwa kwasababu kila sehemu ilikuwa ni kabila linajitegemea na kuwa nchi ilibidi waungane. Haya sio mmajimbo au mfano mzuri. Majimbo waliyokuwa wanaongelea ni kama ya Kenya ya kiutawala Kenya waiata county. Hizi ni kama kanda za utawala sio majimbo kwa ukabila.
 
Uingereza Ina utawala wa kikanda. Kuna North East, North West, Great London ect. Hizi kanda zinajitegemea kuanzia kwa kampuni za umeme, maji, afya kila kanda inasimamia budget yake. North East inaweza kuamua kuajiri madaktari kutoka India na uamuzi wao unaheshimiwa.
 
Maneno yako matamu ila mifano yako mibovu...

Dunia sio chafu,,, ila ni chafu kama uchafu ukiutazama
 
Kweli nimieamini binadamu hatuko sawa, nimawazo yako, ila sidhanii kama ni busara kututisha ya kuwa sio vyema kubadili mfumo wa uendeshaji wa kinchi, mbona mengi tunayaiga na nchi inasonga mbele? nafikiri itakuwa vyema useme njia gani nzuri ya kuuiga huo mtindo wa kuiendesha Nchi kimajimbo.
 
Kuna chama nchini kimekua kikitumiwa kugawa Watanzania kijiografia na kitabaka. Nasema kinatumiwa kwa sababu umoja wa watanzania umekua kikwazo kikubwa kwa wale wenye nia ya kuligawa taifa kwa mizozo ili wamiliki kirasi uchumi wake.

Nchi kama Ethiopia imehangaika miaka mingi kujenga uzalendo wa kitaifa ila wapinga maendeleo wamekua kikwazo kwa kushikilia ukabila na umajimbo.

Kutokana na kuzidiwa na waunga ukabila na umajimbo wakasalimu amri na kuruhu serikali za majimbo imara kwa msingi wa ukabila. Hivi leo uzalendo wa kikabila unahatarisha kusambaratika taifa hilo. Katika mfumo wao kila jimbo lina bunge lake Rais wake na majeshi yake jambo limeonekana sasa kutishia umoja wa taifa hilo.

Hapa nchini Chadema wamekua wanapigia chapuo sera za ujimbo kama ule unapatika kule ethiopia. Eti umajimbo ndio utaletea taifa maendeleo. Kwamba kila jimbo na mali asili zake wapambane kuendeleza watu wao.

Kwa nchi changa inayotafuta maendeleo umoja ndio nguzo ya amani. Bila shaka tumeona nini kinatokea ethiopia. Jimbo la tigray limeasi linapigana vita na jeshi la taifa. Majimbo mengine kila ya leo yanatishia serikali kuu.

Na kila siku kila kabila linadai lipewe kua jimbo. Ni vurugu tupu kwa nchi ambayo katika miaka ya karibuni wamefanya vizuri sana kuipatia nchi yao maendeleo sasa adui zake wanaibomoa kirasihi kwa kukosa umoja.
Mimi Katika kitu naunga mkono Chedema ni hayo majimbo.Mtu Atokea Biharamulo huko eti apinga bandar ya Bagomoyo isijengwe.Halafu anajinasibu Mimi ninaichungu Sana na hii nchi..Shenzi kabisa nanda kwenu ukale barare.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Mimi Katika kitu naunga mkono Chedema ni hayo majimbo.Mtu Atokea Biharamulo huko eti apinga bandar ya Bagomoyo isijengwe.Halafu anajinasibu Mimi ninaichungu Sana na hii nchi..Shenzi kabisa nanda kwenu ukale barare.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Kanda ya Magharibi ingekua na kampuni yake ya maji, umeme na budget yake ya elimu na afya.
 
Swali hivi kama sera ya majimbo Itapita na kulazimika kila mmoja arejee kwao, si itabidi hapa Dar es Salaam tuhame tuwaache wenye mji wao wazaramo ama vipi?
Kama naiona bandari Salama mdundiko , tokomile, gombesugu,mkinda nk kila siku
 
Swali hivi kama sera ya majimbo Itapita na kulazimika kila mmoja arejee kwao, si itabidi hapa Dar es Salaam tuhame tuwaache wenye mji wao wazaramo ama vipi?
Mtanzania ana haki ya kuishi popote anapoamua, kama kodi yako inachangia maendeleo ya Dar, una haki zote za kuishi hapo.
 
Kwani sasahivi mkuu wa mkoa si ndio mkuu wa ulinzi wa mkoa husika jifunze serikali ya jimbo na mgogoro wa kikabila.


Lunatic
Nitofauti mkuu,utawala wa majimbo unampa madaraka makubwa mkuu wa Jimbo,kiutawala,uchumi na kiulinzi,yaani Jimbo linakuwa na mamlaka yote!
 
yaab hoja yako nyepesi sana, tena pengine huenda ethiopia ingekua na migogoro zaidi km isingekuwa na mfumo wa majimbo. ingawa siungi sana serikali za majimbo tz hasa kwa structure ya nchi yetu jinsi jamii zetu zilivyoishi tangu uhuru zimeshaadapt mfumo flani wa kijamii na kiuchumi kwa mda mrefu sasa, pia nlichoshuhudia kwe issue nzima ya corona mpk chanjo dah italeta changamoto sana aisee baadhi ya watu bado wana fikra za kijima sana so acha tu tuendelee na mfumo tuliouzoea
 
Back
Top Bottom