Joanah mamboKuna dhambi zimejishikizapo pabaya jamani
Poa mkuu mwekunduJoanah mambo
Science ya NGONOScience ya wapi
Science ya NGONO
hapo hapo bado tunaubeba msalaba wa Adam na Eva? shit is contradictory as F U C KImeandikwa kila mtu ataubeba msalaba wake!

Yaani hii dhambi ilikaa pabaya!!
Afu dhambi yenyewe tamuuuuuYaani hii dhambi ilikaa pabaya!!
Afu dhambi yenyewe tamuuuuu
Yani acha tu.....Yaani acha kabisa, kuna haja ya kuwepo kwa huruma kuu kwenye hii dhambi, hii kitu haikutakiwa kuwa dhambi jamani. Ilitakiwa iwe kama kunywa maji tu.
Amina.Katika dhambi ngumu kuziepuka, mojawapo ni hii ya uzinzi. Ila kwa msaada wa Mungu inawezekana!
Vipi wewe unazingatia onyo hilo?Hiyo inaitwa 'Karma' hehe...
Halafu hata kwenye ulimwengu wa roho jamani kuzini ni vibaya mnooo...
Unaeza beba mabalaa na mikosi usioijua...
Sio pabaya ila pataaaaaamuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu..............................................Kuna dhambi zimejishikizapo pabaya jamani
Patamuuuuuuuu ile mbaya mamii au vipi?Yaani hii dhambi ilikaa pabaya!!
kuoa/kuolewa ni kama kunywa maji tu.Yaani acha kabisa, kuna haja ya kuwepo kwa huruma kuu kwenye hii dhambi, hii kitu haikutakiwa kuwa dhambi jamani. Ilitakiwa iwe kama kunywa maji tu.
Haya yatakuwa ni mafundisho ya kiisilamu, maana hakuna kutakaswa kwake aliueamini dhidi ya asiyeamini. Ni kanuni juu ya kanuni na amri juu ya amri. Dhambi ya mwovu hurithiwa na mwenye haki.Nimekuja huku kukumbushana tu maana hata mimi ukumbusho huu unanihusu.
Zinaa ni uchafu na ni njia mbaya lakini wanaadamu tumeihalalisha rasmi.Sasa ni vyema tukazingatia yafuatayo;
Ukizini na mara moja uchafu huo wa zinaa utakuandama mpaka na wewe watu wako wanne wa karibu nao waziniwe vile vile.Nao ni mama yako mzazi,dada yako,mkeo na binti yako.Na wanaziniwa kidhalili ili kufidia fujo unazofanya.Ukimzini dada wa mtu kwa pesa basi dada yako anaziniwa bure.
Ukimzini dada wa mtu gesti basi dada yako anaziniwa kwenye mapori.Ni malipo kamili kwa wafanyao uchafu huu.
'What goes around comes around'.