Nimekuja huku kukumbushana tu maana hata mimi ukumbusho huu unanihusu.
Zinaa ni uchafu na ni njia mbaya lakini wanaadamu tumeihalalisha rasmi.Sasa ni vyema tukazingatia yafuatayo;
Ukizini na mara moja uchafu huo wa zinaa utakuandama mpaka na wewe watu wako wanne wa karibu nao waziniwe vile vile.Nao ni mama yako mzazi,dada yako,mkeo na binti yako.Na wanaziniwa kidhalili ili kufidia fujo unazofanya.Ukimzini dada wa mtu kwa pesa basi dada yako anaziniwa bure.
Ukimzini dada wa mtu gesti basi dada yako anaziniwa kwenye mapori.Ni malipo kamili kwa wafanyao uchafu huu.
'What goes around comes around'.