captain zulu
Member
- Aug 2, 2014
- 44
- 6
Wana jf mwenyekujua novel nzuri za kifundisha kama think big n.k naomba unitajie majina yake na niweze kununua ...ni hilo tu wana jf..
mimi nataka..maisha ya pelle na mchezo murua wa kandanda...mohammed ally....king solomon minners...damon anf king pithius.mkuu kama nawza kupata nicheki 0753195359...call au whatsap
borne identity ya robert ludrum na my life in the mafia ya vicent teresa achilia mbali chicago gangster ya al capone.