Wale wanaosubiria confirmation NACTE

Wale wanaosubiria confirmation NACTE

seleboy92

Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
58
Reaction score
1
Congratulation!! Your are successfully confirmed to join selected Programme below in said Institution/College.

Hii inamaanisha nini?
 
Congratulation!! Your are successfully
confirmed to join selected Programme below
in said Institution/College.

hii inamaanisha nn
ongera maana ake chuo kimekukubali kutokana na ufauru wako umekizi vigezo vyao walivyojiwekea kama chuo ivyo chuo kimedhibitisha nacte umechaguliwa hapo
 
Udom wanazingua mpk leo hakuna batch 2
 
Udom wanazingua mpk leo hakuna batch 2
ndugu yangu usikate tamaa lazima watatoa majina na we utakuwemo izo ni changamoto za hapa na pale ila alicho kupangia mungu akuna wa kubadilisha wish you the best v2d
 
anaekijua chuo cha tumain makumira mbeya cumpus anipe info jaman kipoje????™£££
 
anaekijua chuo cha tumain makumira mbeya cumpus anipe info jaman kipoje????™£££

Google tumaini makumira,itakuja website ya chuo utaingia hapo,kisha download prospectus umo utapata muongozo,historia na kila kitu kuhusu chuo had masomo utayosoma.
 
Wana jmvi naomba kuuliza umeandkiwa kwamba umekuwa selected hlf kwenye eligibility status umeandikiwa eligible kwenye vyuo vyote ulivyoomba......na kwenye remarks umeendikiwa meet requirements hii iko vip naomb msaada
 
sijawahi angalia profile yangu asee coz najiamini lazima nipate tu chuo na mkopo 100% jana cjui nn kimenifanya nipitie profile yangu, asee nimekuta maandishi mekundu yanayosomeka NOT SELECTED asee ilikua kama nimepigwa gazi hivi nikaona machozi flani hivi afu chair yamoto kinoma aroo kuna dada alikua pembeni yangu hapo kumbe nae kaona ile NOT SELECTED akanambia kaka yangu pole sana lkn unaeza apply tena coz deadline bado mpaka 24 basi nikaweka corse nyingine japo zile nizipendazo tayali zimejaa na vile vyuo nivipendavyo tayali vimejaa asee usiombe kukosa chuo ni kisanga, naomba MUNGU anijalie nipate chuo na boom. Amina.
 
sijawahi angalia profile yangu asee coz najiamini lazima nipate tu chuo na mkopo 100% jana cjui nn kimenifanya nipitie profile yangu, asee nimekuta maandishi mekundu yanayosomeka NOT SELECTED asee ilikua kama nimepigwa gazi hivi nikaona machozi flani hivi afu chair yamoto kinoma aroo kuna dada alikua pembeni yangu hapo kumbe nae kaona ile NOT SELECTED akanambia kaka yangu pole sana lkn unaeza apply tena coz deadline bado mpaka 24 basi nikaweka corse nyingine japo zile nizipendazo tayali zimejaa na vile vyuo nivipendavyo tayali vimejaa asee usiombe kukosa chuo ni kisanga, naomba MUNGU anijalie nipate chuo na boom. Amina.

hahahaaaaa ulidhani hii nchi ya babu yako?
 
sijawahi angalia profile yangu asee coz najiamini lazima nipate tu chuo na mkopo 100% jana cjui nn kimenifanya nipitie profile yangu, asee nimekuta maandishi mekundu yanayosomeka NOT SELECTED asee ilikua kama nimepigwa gazi hivi nikaona machozi flani hivi afu chair yamoto kinoma aroo kuna dada alikua pembeni yangu hapo kumbe nae kaona ile NOT SELECTED akanambia kaka yangu pole sana lkn unaeza apply tena coz deadline bado mpaka 24 basi nikaweka corse nyingine japo zile nizipendazo tayali zimejaa na vile vyuo nivipendavyo tayali vimejaa asee usiombe kukosa chuo ni kisanga, naomba MUNGU anijalie nipate chuo na boom. Amina.

Kuwa mjanja jaza kozi zisizo na ushindani na zinazoendana na ulichosoma.
 
Wana jmvi naomba kuuliza umeandkiwa kwamba umekuwa selected hlf kwenye eligibility status umeandikiwa eligible kwenye vyuo vyote ulivyoomba......na kwenye remarks umeendikiwa meet requirements hii iko vip naomb msaada

Mkuu we wa Nacte au TCU?SBB Nacte ukiwa selected kinabakia chuo tu ulicho kuwa selected.
 
Me wa nacte....yani vimebki vyote na vyote wameandika eligible na meet requirements kote
 
Back
Top Bottom